Kiswahili Paper 1 Questions and Answers - Murang'a County Mocks 2020/2021

Share via Whatsapp

MAAGIZO:

  • Andika insha mbili. Insha ya kwanza ni ya lazima
  • Kisha chagua insha moja nyingine kutoka kwa hizo tatu zilizobakia.
  • Insha yako isipungue maneno 400
  • Kila insha ina alama 20.


MASWALI

  1. Wewe ni Mkurugenzi wa tume ya kupambana na ufisadi nchini. Andika barua pepe kwa watumishi wote wa umma ukiwaeleza athari za ufisadi kwa taifa.
  2. Teknolojia ya kisasa ina athari mbaya katika maisha ya vijana. Jadili.
  3. Andika insha itakayodhirisha maana ya methali ifuatayo: Mzaha mzaha hutumbuka usaha.
  4. Andika kisa kitakachomalizika kwa … hivyo ndivyo ukurasa mpya katika kitabu cha maisha yangu ulivyofunguka.


MWONGOZO

  1.  
    1. Siku, tarehe na saa.
    2. KUHUSU:
    3. KUTOKA:
    4. KWA:
    5. NAKALA KWA:
      • Anwani za barua pepe za mwandishi, na walengwa zionyeshwe
    6. Mtajo
    7. Mwili
    8. Hitimisho la barua rasmi
  2.  
    • ATHARI MBAYA
      • Kupotoka kimaadili –kujiingiza katika ngono
      • Kuharibu utamaduni wa kiafrika
      • Kuwaingiza kwa vikundi haramu
      • Kupata mifano mibaya
      • Uraibu wa pombe ,dawa za kulevya
    • FAIDA
      • Wanaweza kujifunza nayo
      • Wanaweza kuelewa ulimwengu vizuri
      • Wanaweza kufanyia kazi mbalimbali vizuri
  3.  
    1. Hii ni insha ya methali.
      Mwanafunzi atunge kisa kitakachodhihirisha maana na matumizi ya methali hii.
    2. Methali hii inamaanisha mzaha mwingi huishia kuleta hasara.
    3. Mwanafunzi aonyeshe sehemu zote mbili za methali.
      Asipozingatia hayo atunzwe 1/10 .
  4. Insha iwe na kichwa mwafaka.
    • Atunzwe nafsi ya kwanza.
    • Lazima insha imalizike kwa maneno aliyopewa.
    • Asipomalizia kwa maneno hayo amejitungia swali atuzwe 02/20.
    • kisa kirejelee jinsi maisha yake yalivyo badilika
Join our whatsapp group for latest updates

Download Kiswahili Paper 1 Questions and Answers - Murang'a County Mocks 2020/2021.


Tap Here to Download for 50/-




Why download?

  • ✔ To read offline at any time.
  • ✔ To Print at your convenience
  • ✔ Share Easily with Friends / Students


Get on WhatsApp Download as PDF
.
Subscribe now

access all the content at an affordable rate
or
Buy any individual paper or notes as a pdf via MPESA
and get it sent to you via WhatsApp

 

What does our community say about us?

Join our community on:

  • easyelimu app
  • Telegram
  • facebook page
  • twitter page
  • Pinterest