Kiswahili Paper 1 Questions with No Answers - Maseno Mock Exams 2020/2021

Share via Whatsapp

Kenya Certificate of Secondary Education
102/1- KISWAHILI -Karatasi ya 1
(INSHA)
2 ½ hours

Maagizo

  1. Andika insha mbili. Insha ya kwanza ni ya lazima.
  2. Kila insha ina alama 20.
  3. Chagua insha nyingine kutoka kwa hizo tatu zilizosalia.
  4. Kila insha isipungue maneno 400.
  5. Kila insha iandikwe kwa lugha ya Kiswahili.
  6. Insha zote sharti ziandikwa katika nafasi ulizoachiwa katika karatasi za majibu.


Maswali

  1. Lazima
    Wewe ni mhariri wa Gazeti la Mwangaza, andika tahariri ukitetea kauli kwamba kuzorota kwa maadili shuleni kunachangiwa na wanafunzi wenyewe.
  2. Kenya ni mojawapo ya mataifa yanayokuwa na yenye uwezo mkubwa wa kimaendeleo .Eleza malengo ya ‘Ruwaza ya mwaka 2030’
  3. Andika kisa kitakachodhihirisha maana ya methali;
    Aliyeanguka mwanguko wa mende hana bao.
  4. Tunga kisa kitakachomalizika kwa kauli;
    … nilisimama kwa miguu yangu miwili lakini nilihisi ni heri nife.Nilikuwa nimeacha mbachao kwa msala upitao.
Join our whatsapp group for latest updates

Download Kiswahili Paper 1 Questions with No Answers - Maseno Mock Exams 2020/2021.


Tap Here to Download for 50/-




Why download?

  • ✔ To read offline at any time.
  • ✔ To Print at your convenience
  • ✔ Share Easily with Friends / Students


Get on WhatsApp Download as PDF
.
Subscribe now

access all the content at an affordable rate
or
Buy any individual paper or notes as a pdf via MPESA
and get it sent to you via WhatsApp

 

What does our community say about us?

Join our community on:

  • easyelimu app
  • Telegram
  • facebook page
  • twitter page
  • Pinterest