- Fomu ni karatasi ambayo ina nafasi ya kuandika maelezo ambayo yanatakiwa.
- Maelekezo ya jinsi kuikabili insha hii:
- Soma fomu kwa makini kabla ya kujaza chochote.
- Andika maelezo kwa muhtasari.
- Usijaze kama huna hakika kwenye sehemu Fulani.
- Usifutafute.
- Itumie alama inayostahili wakati wa kujaza fomu.
MAELEZO YA KIBINAFSI
TAREHE……………………………………………………
JINA………………………………………………………………
JINSIA…………………………………………………………………
UMRI…………………………………………………………
TAREHE YA KUZALIWA…………………………………………
URAIA………………………………………………
10
NAMBARI YA KITAMBULISHO………………………………
KAZI……………………………………………………
MKOA…………………………………………………………………
WILAYA……………………………………………………………
SIMU………………………………………………………………
SAHIHI………………………………………………………
TAREHE………………………………………………………..
Download Kujaza Fomu - Kiswahili Insha Notes.
Tap Here to Download for 50/-
Get on WhatsApp for 50/-
Why download?
- ✔ To read offline at any time.
- ✔ To Print at your convenience
- ✔ Share Easily with Friends / Students