Displaying items by tag: Class 8

Maswali

Chagua jibu sahihi ujazie nafasi wazi

Baada ya siku    1      kupita, wakaona kisiwa      2      mbali, wakakusudia kwenda     3      . Walipokaribia , wakaona    4        moja zuri lakini hakukuwa na     5       yoyote ya watu,wanyama    6       ndege. Miti na majani yalikuwa kama yamelala.   7        nanga, wakashuka kisiwani na wakaingia      8     . Kila     9       , waliona watu wamelala bila     10       yoyote;walistaajabu mno. Wakapanda juu ya      11      jumba , wakaingia      12      chumba , wakaona mambo ni     13      tu. Wakaja hata    14        chumba cha yule mlezi     15       wakazidi kustaajabu.

  A B C D
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
mingi 
na
kuitazama
jumba
dalali
au
wakatua
jumba
walipopita
ufahamu
kile
na
ile ile
katika
nayo
nyingi
ya  
kutazama
chumba
dalili
 ila
wakatoa
 jumbani
waliopita
kufahamu
 ule
wa
yale yale
kwa
naye
mengi
kwa
kukitazama
nyumba
dhalili
wala
wakaweka
kwa jumba
walipita
fahamu
Ile
cha
hiyo hiyo
na
nao
wengi
kuwa
Kupatazama
vyumba
adili
na
wakatia
katika jumbani
waliyepita 
hamu
lile
kwa
yaya haya
wa
nacho

Chagua jibu sahihi kutoka swali la 16-30

  1. Ni ipi sio maana ya kitawe shinda
    1. faulu
    2. kukaa kutwa
    3. isiyojaa
    4. tabu
  2. Magurudumu nikwa motokaa ilhali ________ ni kwa kitanda.
    1. matendeguu
    2. miguu
    3. matendegu
    4. maguu
  3. Kule mahakamani ,shahidi alitakikana atoe __________
    1. shada
    2. shahada
    3. ushuhuda
    4. ushahidi
  4.  Mtoto ___________ alianguka vibaya sana.
    1. mwenye
    2. yeye
    3. mwenyewe
    4. enyewe
  5. Andika ukubwa wa
    Mtoto wa ngo’mbe anaitwa ndama.
    1. Jitoto la ngo’mbe linaitwa dama
    2. Toto la gombe linaitwa dama.
    3. Jitoto la gombe linaitwa ndama.
    4. Toto la ngo’mbe anaitwa ndama.
  6. Nyoka ______ ana meno ______
    1. yule , ndefu
    2. ile , marefu
    3. yule , marefu
    4. ule , refu
  7. Nini maana ya ‘Tulipeana’
    1. alinipea nami nikampea
    2. tulimpa akachukua
    3. nilimpa naye akanipea
    4. tuliwapa nao wakatupa
  8. Chagua sentensi sahihi
    1. Mtoto ambaye aliyefaulu amezawadiwa.
    2. Mtoto ambao alifaulu amezawadiwa.
    3. Mtoto aliyefaulu ametuzwa zawadi.
    4. Mtoto ambaye aliyefaulu amepewa zawadi.
  9. Watu wanapofiwa huwa wanaambiwa?
    1. alamsiki - binuru
    2. mpo - tupo
    3. poleni - asante
    4. makiwa - tunayo
  10. Kamilisha kwa usahihi
    Msimwache mgonjwa _______
    1. akufe
    2. afe
    3. aafe
    4. akakufe
  11. Mwindaji haramu wa wanyama pori huitwa _______
    1. jasusi
    2. jambazi
    3. jangili
    4. msasi
  12. Kama juzi ilikuwa ijumaa tarehe sita, mtondo itakuwa siku gani na tarehe ngapi?
    1. Jumatano tarehe kumi na moja
    2. Jumapili tarehe nane
    3. Ijumaa tarehe kumi na tatu
    4. Jumatano tarehe kumi
  13. Tumia –a unganifu kwa usahihi
    Pua _______ mtoto inauma
    1. la
    2. wa
    3. ya
    4. za
  14. Chagua sentensi iliyo katika wakati timilifu.
    1. aende shuleni
    2. hajaenda shuleni
    3. ataenda shuleni
    4. huenda shuleni
  15. Jaliza mwanya
    Mahali hapa ______ uchafu mwingi.
    1. nayo ina
    2. nako kuna
    3. napo kuna
    4. napo pana

Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali 31 mpaka 40.

Naikumbuka siku hiyo vizuri. Niliamka alfajiri mbichi tayari kuanza safari kutoka kijijini mwetu hadi mji mkuu. Hii ndiyo iliyokuwa mara yangu ya kwanza kuuzuru mji huu. Moyoni nilikuwa na bashasha isiyokuwa ya kawaida kwa sababu siku hiyo ningeuona mji ambao sifa zake nilikuwa nikizisikia tu kutoka kwa wenzangu waliobahatika kuutembelea. Hamu ya kuona majengo marefu, barabara zilizosakifiwa, magari mengi, watu wa asili mbalimbali na mabustani ya starehe ilinigubika ikawa sijifai kwa matumaini.

Nilitembea hatua chache hadi kituo cha mabasi, nikapata daladala moja iliyotoza nauli nafuu, nikaiabiria mpaka mji uliokuwa pua na mdomo kutoka kitongojini mwetu. Hapo nilitumainia kupata matwana ya kusafiria hadi mji mkuu. Kwenye stesheni kulikuwa na msongarnano wa matwana na harakati za utingo waliokuwa waking’ang‘ania abiria. Nikaingia katika matwana moja iliyoitwa Upepo. Nilikuwa abiria wa kumi na wawili kuingia. Baada ya dakika tano hivi, gari lilijaa abiria,wote kumi na wanne. Tukang’oa nanga. Mandhari ya kupendeza yalijikunjua mbele yangu. Upepo mwanana kupitia dirishani,mpito wa kasi wa miti, mazigazi ....vyote vilishirikiana kunipumbaza kiasi cha kunisahaulisha kufunga mkanda wa usalama.

Baada ya robo saa utingo alidai nauli. Nikapeleka mkono kwa tahadhari kwenye kibindo changu ambamo nilikuwa nimezifutika hela za usafiri na masurufu. Nikatoa noti ya shilingi mia mbili na kumkabidhi utingo huku nikitarajia baki. Utingo alinikazia macho, akanyoosha mkono na kusema, “Mia mzaidi!“ Nikarudi tena kwenye kibindo, nikatoa noti mbili za shilingi hamsini na kumpa. Safari ikaendelea.

Tulipofika mji mdogo wa Pilia, matwana ilisimama. Utingo aliinama chini ya viti, akatoa vibao na kuviweka baina ya viti vya kawaida. Kisha akaanza kutangaza. “Wa Jiji na mia; mia hamsini”. Abiria walioonekana kuwa wachovu kwa kungojea na kupigwa na mzizimo wa kipupwe walipigana vikumbo kuingia huku utingo akiwaelekeza kwenye vile vibao. Viti vilivyotengenezewa abiria watatu vikaishia kubeba abiria watano. Matwana nayo ikawa haina budi kustahimili uzito wa abiria ishirini na watatu. Tukawa tunabanana kweli kweli. Utingo naye alining’inia mlangoni huku shati lake likipeperushwa na upepo. Nilipojaribu kulalamikia hali hii nilinyamazishwa hata na abiria wenzangu.

Gari Iikaanza mwendo tena huku likiendeshwa kwa kasi ya umeme. Abiria waliokuwa wakizungumza sasa walinyamaza kila mmoja roho i mkononi. Kimya cha kaburi kikatawala hadi pale utingo alipomwambia dereva. “Weka ngoma.“ Muziki ukahanikiza hewani kwa fujo. Baadhi ya abiria wakaanza kuyumbisha vichwa kwa kufuata mdundo wa muziki ambao ulitishia kuvipasua viwambo vya masikio yangu.

Njiani tulikutana na walinda usalama ambao walitusimamisha. Utingo alishuka na kwenda chemba na mmojawapo wa hao maafisa kisha akarudi huku kipaji chake kimenawiri kwa tabasamu. Akasema, “Nimempaka mafuta viganjani.” Baadhi ya abiria walitikisa vichwa, wengine wakacheka kama kwamba wameona kinyago. Mimi nilibaki kuduwaa tu. Gari liliongeza mwendo na baada ya muda mfupi tukafika kwenye mji mmoja ambao ulikuwa na majengo makubwa makubwa. Nikadhani tumefika mji mkuu. Nilipomuuliza abiria jirani aliniambia kuwa huu ulikuwa tu mji mkuu wa Jimbo la Buraha. Tukazidi kuyakunja rnasafa ya safari hii kwa kasi ya kuogofya huku dereva akitafuna majani aliyokuwa akiyatoa mfukoni mwa shati lake. Kadiri alivyoyatafima ndivyo alivyozidisha kasi. Nikahisi kama gari linapaa juu angani. Nikataka kumwambia dereva jambo, lakini nikajiambia, “Ikiwa wengine wamenyamaza sembuse mimi?“

Baada ya kitambo kidogo mvua ilianza kunyesha. Kukawa na ukungu na utelezi barabarani. Abiria mmoja alimsihi dereva kupunguza mwendo. Hayo hayakumgusa dereva mshipa. Aliongeza kasi kana kwamba hajasikia lolote. Gari Iilifika kwenye kuruba,dereva akawa haoni vizuri. Ghafla nikasikia, “Kirrr..!“ Kisha_“Mungu wangu!" Halafu, ‘ngu!'Kiza cha kaniki kikatanda.

Maswali:

  1. Kulingana na kifungu;
    1. Wenzake msimulizi waliwahi kupata fursa ya kuishi katika Mji Mkuu.
    2. Barabara za Mji Mkuu hazina mashimo.
    3. Mji Mkuu una majumba mengi marefu.
    4. Msimulizi ana mwao na hali ilivyo katika Mji Mkuu.
  2. Chagua jibu sahihi kuhusu vituo vya magari kwa mujibu wa aya ya pili:
    1. Wasafiri wengi kushindania nafasi
    2. Magari mengi kushindania wasafiri
    3. Misongamano mingi ya kungangania wasafari
    4. Shughuli nyingi za kungangania nafasi.
  3. Mazingira ya kuvutia yalimwathiri Msimulizi kwani:
    1. Aliduwaa na kujisahau.
    2. Alifurahia upepo na kujisahau.
    3. Alizubaa na kupuuza sheria za usafiri.
    4. Alipumbaa na kupinga sheria za usafiri.
  4. Msimulizi alikuwa amehifadhi pesa katika:
    1. Mfuko mdogo ndani ya suruali.
    2. Mfuko mdogo mbele ya suruali.
    3. Mfuko wa nguo iliyoshonwa kiunoni.
    4. Mkunjo wa nguo uliofingwa kiunoni.
  5. Katika mji wa Pitia abiria walipigana vikumbo kuingia garini kwa sababu:
    1. Kulikuwa na uhaba wa magari.
    2. Kulikuwa na uhaba wa viti.
    3. Walikuwa wamechoka kungojea matwana
    4. Walikuwa wamepigwa na baridi na mvua.
  6. Kulingana na kifungu ajali barabarani husababishwa na:
    1. ukosefu wa magari, kubeba abiria wengi.
    2. kiburi cha madereva. kutozingatia maelekezo barabarani.
    3. ukosefu wa mikanda ya usalarna, madereva kutowajibika.
    4. muziki wa kupasua viwambo madereva kutoona vizuri.
  7. Msimulizi ni mkakamavu kwa vile:
    1. Alishutumu hali ya gari kubeba abiria kuliko kiasi.
    2. Alishutumu hali ya shati na utingo kuning‘inia nje.
    3. Alinyarnaza alipoona dereva akikaribia kuruba kwa kasi.
    4. Alinyamaza alipoona utingo akienda chemba na afisa.
  8. Chagua jibu lisilo sahihi kulingana na kifungu:
    1. Abiria wengine waliufurahia muziki garini.
    2. Ufisadi unaweza kusababisha ajali barabarani.
    3. Abiria wanaweza kuzuia ajali barabarani.
    4. Kuruba ndiyo iliyosababisha ajali garini.
  9. Ni mfuatano upi wa matukio ufaao kwa mujibu wa kifungu?
    1. Kucheza muziki, kukutana na polisi, kufikia kuruba, mvua kunyesha, kupata ajali
    2. Kukutana na polisi, kuhonga, kucheza muziki, kufikia kuruba, kupata ajali
    3. Kucheza muziki, kukutana na polisi, kuhonga, kufikia kuruba, kupata ajali.
    4. Kukutana na polisi, gari kupaa juu, mvua kunyesha, kufikia kuruba, kupata ajali.
  10. 'Kiza cha kaniki kilitanda’ kulingana na kifungu ina maana:
    1. Msimulizi akapoteza fahamu.
    2. Msimuiizi akapoteza uwezo wa kuona.
    3. Kukawa na weusi mkubwa.
    4. Kukawa na giza totoro.

Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali 41 mpaka 50.

Tenga alilelewa katika mazingira yaliyojaa neema, furaha na uchangamfu. Wazazi wake Bwana Mtanga na Bi. Zuhura waiikuwa wakwasi wa kutajika katika janibu hizo, si kwa mali tu bali kwa nyoyo zao zilizokuwa tayari kila mara kuwakirimu wanakijiji kwa lolote.

Bwana Mtanga na Bi. Zuhura hawakuiala maskini wakaamka matajiri. Mtanga alianza kazi kama tarishi katika Makavazi ya Umma. lngawa hii ilikuwa kazi ya kijungu jiko . Mtanga hakwenda nguu: alijitahidi kwa vyovyote vile kujinyanyua. Akajisajili kwa kozi mbalimbali za usimamizi wa makavazi na kuhilimu vyeti tofautitofauti vikiwemo stashahada na shahada katika masuala ya usimamizi wa mashirika ya umma. Jitihada zake zikazaa matunda. Akapandishwa cheo mwaka baada ya mwingine hadi akawa msimamizi wa Makavazi ya Umma. Baadaye akaajiriwa na shirika la Msalaba Mwekundu kama Mkrurugenzi wa Huduma za Kijamii.

Bi. Zuhura naye baada ya kuhitimu masomo ya shule ya upili,alisomea taaluma ya ukutubi na baadaye kuajiriwa katika maktaba ya chuo kikuu cha Tungama. Hapa Zuhura alitambua kuwa amepata nafusi adimu ya kutia makali ubongo wake. Akajisajili kwa kozi ya ukutubi na kuhitimu shahada ya daraja la kwanza katika taaluma hii. Wakuu wake kazini wakavutiwa na juhudi zake na kumpandisha cheo akawa Mkutubi Mkuu.

Wakati Bwana Mtanga na Bi. Zuhura walipokuwa wakijiendeleza kitaaluma na kiuchumi,Tenga naye alikuwa anajikalia tu kama uyoga bila mpalilizi. Nyadhifa za wazazi wake zilimpokonya Tenga ushirika wa wazazi wake. Ile michezo yake na wazazi wake kabla ya chajio, yale matembezi ya kila Jumapili yote yakatoweka. Baba na mama wakawa wanarudi nyumbani baada ya saa nne usiku wakiwa wametoka kwenye masomo ya kuupigia msasa ujuzi wao; Jumamosi na Jumapili wana majadiliano na wanafunzi wenzao. Nyakati nyingine wazazi wote wawili walikuwa kwenye safari za kikazi. Nyakati kama hizi Tenga angepelekwa kwa shangazi ambako angekaa na kijakazi wake kwa wiki tatu; anaenda shuleni na kurudi huko huko kwa shangazi.

Wahenga walisema kwamba, akosaye la mama hata la mbwa huamwa. Pengo la malezi lililoachwa na wazazi wa Tenga Iilijazwa na walezi wengine wakiwemo vijakazi , shangazi, marika,walimu,majirani na hata vibonzo. Tenga alijifunza mengi kutokana na walezi hawa. Alifunzwa namna ya kupigana miereka kutumia ujanja kujitoa katika matatizo,kutumia maneno makali,kujihami alipochokozwa na wenzake, pamoja na mitindo mbalimbali ya kujinadhifisha. Mafunzo ambayo Tenga aliyapata hasa kutoka kwa marika yaliutia ila mwenendo na uhusiano wake na walimu. Darasani akawa anaishi kuvuruga masomo kwani kila mara angetenda kituko ili mwalimu na wanafumi waubaini uwepo wake. Vituko hivi vilisababisha kudorora kwa alama zake. Walimu wakajaribu kuurekebisha utundu wake lakini zikawa kama juhudi za mfa-maji. Tabia ya Tenga haikuwa ufa tena bali ukuta ambao ulihitaji kujengwa upya. Mkuu wa Idara ya Ushauri na Uelekezaji shuleni ilibidi ahusishwe. Akamhoji Tenga na kupambaukiwa kuwa vitendo vya Tenga vilikuwa na asili ambayo ilihitaji kuchunguzwa. Akampendekezea mwalimu wa darasa kuwashirikisha wazazi kalika kutafuta mbinu za kumwelekeza Tenga zaidi.

Bwana Mtanga na mkewe Zuhura walipoambiwa kuhusu hali ya Tenga walipigwa nu bumbuazi. Hawakuwa wameyawazia madhara ya kutoshiriki kikamilifu katika malezi ya mtoto wao. Mwalimu aliwaambia ya kwamba nusura Tenga ajiingize na wenzake katika matumizi ya dawa za kulevya Iakini akakataa na kusema kuwa hata babake hakujaribu kutumia kitu chochote. Wazazi waliona haya na kujilaumu. Hata hivyo walishukuru ya kwamba walimu waliyagundua matatizo haya kabla hayajaiangziniiza familia yao.

Chagua jibu sahihi kwa mujibu wa kifungu.

  1. Bwana Mtanga na Bi. Zuhura:
    1. walimlea Tenga kwa kushauriana, walikuwa mashuhuri;
    2. walimlea Tenga kwa kuchangamkiana, walikuwa maarufu
    3. waliingiliana vyema na majirani, walipenda kusaidia
    4. waliingiliana vyema na walimu, walipenda kutoa.
  2. Utajiri wa wazazi wa Tenga ulitokana na:
    1. uwajibikaji wao katika shughuli zao
    2. kupata vyeo katika madaraja tofautitofauti
    3. kupata shahada na stashahada mbalimbali
    4. uwajibikaji wao katika taaluma zao
  3. Wazo kuu linalojitokeza katika aya ya nne ni kwamba:
    1. Jambo Iolote likifanywa bila ushirikiano huleta madhara
    2. Jambo lolote likifanywa bila kipimo huweza kuleta madhara
    3. Jambo lolole likifanywa bila utulivu huweza kuleta madhara
    4. Jambo lolote likifanywa bila mtazamo huweza kuleta madhara
  4. Kifungu kinaonyesha kuwa ukosefu wa malezi bora husababisha:
    1. kupigana miereka daima ili kupata maslahi
    2. kudhoofika kwa maadili
    3. kuharibu masomo darasani ili kuonekana kote
    4. kuharibika kwa urafiki
  5. "Tabia ya tenga haikuwa ufa bali ukuta abao ulihitaji kujengwa upya" ina maana;
    1. Tabia ya tenga ilikuwa imeharibika kabisa kiasi cha kuhitaji kurekebishwa kikamilifu
    2. Tabia ya tenga ilikuwa imeharibika kabisa kiasi cha kuhitaji kushauriwa kikamilifu
    3. tabia ya Tenga ilihitaji kushughulikiwa kikamilifu
    4. tabia ya Tenga ilihitaji kutambuliwa kikamilifu
  6. Kwa mujibu wa kifungu. Idara ya Ushauri ya Uelekezaji inasaidia katika malezi kw
    1. kuwahoji vijana na kuwaita wazazi wao
    2. kutambua matatizo ya vijana na kuonyesha mbinu za kuwashirikisha
    3. kutambua matatizo ya vijana na kuangazia mbinu za kuyasuluhisha
    4. kuwahoji vijana na kuwaambia matatizo yao
  7. Kulingana na aya ya mwisho, wazazi wa Tenga
    1. hawakujua umuhumi wa kukaa karibu na watoto wao
    2. walipuuza umuhimu wa ushirika wa karibu wa walezi wao
    3. walipuuza umuhimu wa ushirika wa karibu na mtoto wao
    4. hawakujua umuhimu wa kukaa karibu na walezi wao
  8. Chagua jibu lipi linaloonyesha sifa za Tenga.
    1. mcheshi, mwenye kupenda wazazi
    2. mwenye mapenzi ya dhati anayelafuta kushirikishwa
    3. mchangamfu mwenye kupenda unadhifu
    4. mwenye msimamo imara, anayetafuta kutambuliwa
  9. Kisawe cha, ‘hakwenda nguu.’ ni:
    1. hakujitia kapuni
    2. hakujitia hamnazo
    3. hakufa moyo
    4. hakufa kikondoo
  10. Maana ya, ‘kujihami' kwa mujibu wa kifungu ni:
    1. kujitetea
    2. kujinasua
    3. kujihadhari
    4. kujizatiti

Majibu

  1. B
  2. C
  3. C
  4. A
  5. B
  6. A
  7. D
  8. B
  9. A
  10. C
  11. D
  12. D
  13. B
  14. A
  15. C
  16. D
  17. C
  18. D
  19. C
  20. B
  21. C
  22. D
  23. C
  24. D
  25. B
  26. C
  27. A
  28. C
  29. B
  30. D
  31. D
  32. B
  33. C
  34. D
  35. A
  36. B
  37. A
  38. D
  39. C
  40. A
  41. C
  42. D
  43. B
  44. B
  45. A
  46. C
  47. C
  48. D
  49. C
  50. A
Tagged under

Questions

Fill the gaps

Have you ever seen a vehicle     1    gases      2   .Vehicle      3     fuels such as petrol     4    diesel to power their engines.The combustion of     5      fuels in the engines of vehicles     6     harmful gases such as carbon dioxide    7      carbon monoxide and other gases. The exhaust gases produced by vehicles     8     poisonous which    9      the air.

  A B C D
1
2
3
4
5
6
7
8
emits

use
but
this
produces
,
release
pollutes
emiting
.
used
all
these
produce
.
released
pollute
emitting
!
uses
 and
that
producing
!
releasing
pollution
emmiting
?
using 
except
they 
produced
?
releases
polluting

The    10      of global warming    11      already causing havoc     12     the world.Floods are causing untold suffering to communities ;famine and food    13      associated    14      the effectsof climate change is hounding the region.Kenya and    15       government must adapt to changes happening.

  A B C D
10
11
12
13
14
15
effects
 is
round
security
for
his
care
are
under
insecurity
at
with
resultant
has
around
availability
 with
 its
resulting
  have 
on
surplus
into
her 

 

Answer the following question according to the instructions given.

  1. Write in direct speech
    My elder brother said that he didn’t understand why people smoke
    1. “I didn’t understand why people smoked,” My elder brother said.
    2. “He doesn’t understand why people smoke,” My elder brother says.
    3.  “I don’t understand why people smoke,” My elder brother said.
    4.  “Why do people smoke? I don’t understand!” My elder brother said.

    In questions 17 and 18 choose the best alternative that best completes the sentence

  2. Dan pays school fees for his daughters, _____?
    1.  doesn’t he
    2. did he
    3. does he
    4. didn’t he
  3. The guests have not gone home, ________?
    1.  is it
    2. haven’t they
    3. isn’t it
    4. have they 

    For question 19 choose the alternative that means the same as the given sentence

  4. Neither Mary nor his best friend attended the prize giving.
    1. Both of them attended the prize giving
    2. Mary attended the prize giving
    3. None of them attended the prize giving
    4. His best friend attended the prize giving

    Choose the correct alternative to complete the sentence below.

  5. Cate bought a _______ skirt.
    1. circular, silk, short
    2. short, circular, silk
    3. silk, short, circular
    4. circular, short, silk
  6. Mary, ____ house collapsed was not hurt.
    •  who
    • who’s
    • whose
    • which

    For questions 22 to 24, select the alternative that best completes the sentences

  7. I don’t think I can tolerate his behavior much longer
    1. put up with 
    2. put out with
    3. put down with
    4. put off with
  8.  He is as tall as ____
    1. me
    2. I am
    3.  I
    4. am I
  9. Dan chose to play football ___ he is good at it.
    1. though
    2. and
    3. but
    4. because
  10. Choose the correct sentence
    1. Don’t come late; if you do, you will miss the fun
    2. Mary bought apples, oranges and pears.
    3. Ken gave us chocolates; buns; sweets
    4. Dan made, the cake, we decorated.

Read the following passage carefully and then answer questions 26-38.

I started school late, at the age of eight years because my father was not keen on taking me to school. My mother was very keen on insisting that little education did no harm. By then I was ten years old. I was the last born in a family of four children; two boys and two girls. My brothers had finished their secondary education and were now working in the capital city. My sister got married at the age of eleven. From the time she married, I never saw her happy. Her face always looked sad and weary but not once did I hear her complain.

The journey to and from school took two hours. At 3.30pm the lower classes were released while the rest of the school stayed on until 4.30pm. We sat on tree trunks for we did not have desks. Two of the classrooms’ walls had gaping holes. The roof of the classroom was no more than thatch grass that was laid over rafters. It was badly built. On this particular day, Naitula’s book was missing and I found her searching for it everywhere. Then she found one of our classmates under a tree copying notes from it. Without uttering a single word, she forcefully snatched the book from him and after staring at him with a stern face, she waved at me to join her and we left for home. This caught the boy by surprise and he was left staring at us.

It was a rainy season and various wild flowers had bloomed. There were blue, yellow, red and white flowers. Wild fruits had ripened and birds feasted on them. One of my favorite fruits was the wild berry and these two were in plenty. We always spent some time on the way home picking them and also playing with the butterflies that had invaded the country. The path we took every day was so muddy that we kept wiping our feet on the wet grass. From where we were, we could see herds of cattle grazing on the plains in the distance. My father’s herd was grazing near our home.

Cows and goats are our main source of livelihood and a man’s worth is judged by the number of livestock one has. Women, children and animals are a man’s property. Woman’s work is to take care of the man, his children and his animals. My friend Naitula and I parted at the spot where the road branches to our different Manyattas.

On arriving home, I found my father with visitors and they were drinking a traditional brew from horns. Four were seated on his left side while one was on his right. I entered the hut and found a strange woman seated there so I greeted her. My mother, without looking at me asked, “Are you hungry?” “Yes, I have taken nothing the whole day.” She pointed to where a guard of milk was kept. She seemed to be avoiding my eyes and I asked her, “Why do you look sad today mother?”

The visitor smiled exposing her white teeth. She did not answer but said,” Go out and check on the goats and at dusk bring them home.

  1. Why was the writer late to start school?
    1. He was too old to start school
    2. The school was far from their home
    3. His father wasn’t keen on taking him to school
    4. He was too young to start school.
  2. Which of these sentences is false?
    1. The writer hadn’t started school at the age of eight
    2. The writer’s mother was keen on education
    3. The writer was the last born of his family
    4. The writer’s brothers were illiterate
  3. Where were the writer’s siblings
    1. In the village
    2. In school too
    3. Away in town
    4. In different cities
  4. The word weary as used in the passage means:-
    1. very thin
    2. well dressed
    3. poorly dressed
    4. very tired
  5. Which of these sentences best describes the writer’s school?
    1. Logs for desks, mud walls, thatched roof
    2. Logs for walls, thatched roof, wooden desks
    3. Thatched roof, mud walls, wooden desks
    4.  Mud walls, logs for desks and logs for walls
  6. What was Naitula looking for?
    1. Her classmates
    2. A place to sit
    3. Her note book
    4. Her brother
  7. Why was the boy surprised?
    1. He had been talked to harshly.
    2. When Naitula forcefully snatched the book from him.
    3. He had taken his friends book.
    4. He was copying notes.
  8. Which of the following did not happen when the rainy season came?
    1. Plants germinated.
    2. Fruits ripened.
    3. Birds had enough to feed on.
    4. Flowers blossomed.
  9.  From the passage we learn that the writer :-
    1. disliked wild berries
    2. never wore shoes
    3. had never seen butterflies
    4. hardly stopped on the way
  10. What could the writer see at a distance?
    1. Goats and cows grazing
    2. his father grazing
    3. herds of cattle grazing
    4.  his father driving cattle home
  11. Which of the following shows a man’s worth? Number of
    1. manyatta
    2. children
    3. women
    4. livestock
  12. According to the passage
    1. Four visitors were seated to the right side
    2. the writer had had nothing all day
    3. there were some strange women seated
    4. writer’s mother looked happy that day

Read the following passage carefully and then answer question 38-50.

The old man found the children gathered at the same place. As soon as they saw him they asked him to tell them another story. The children were becoming a regular part of the old man’s daily life.

Without them in the evening he felt lonely. The evenings seemed long and boring. It is funny how habits develop, he thought. At first he could easily pass an evening all by himself and feel quite happy. Now he needed the company of the children for the evening to feel complete.

Funny, he thought to himself as he sat down on his favorite chair. It is just like that nasty habit of taking snuff that he had developed. At first he did it as a joke, just for fun. He felt he could stop the habit if and when he wanted to, but in time he found he had to have some snuff every few hours. If he did not, he would get all nervous and shaky. Now he was getting hooked on to being with the children.

“Oh well,” he said to himself, “at least that is a good habit to catch. It cannot make you lose your senses like Mzee Okong’o did”. He had spoken aloud without realizing it. “What happened to Mzee Okongo?” The children asked, all together. The old man let out a short laugh. He had been caught off guard by the children and he knew he had to tell them the story of Mzee Okong’o.

For Mzee Okong’o it had all started like a joke. It was during the wedding of his daughter many years before. During such ceremonies, the bride was required to give her father a horn of beer in front of friends and relatives. Having given her father the beer, the father would ask; “My daughter, are you asking me to drink this beer brought by these people? Are you telling me before,this crowd, that you will never ask me to vomit it”? This was meant to confirm in public whether the girl had completely made up her mind to marry the man. As her sign of agreeing to get married to the man whose family had brought the beer the girl would answer: “Yes, my father. I am asking you to drink it and I will never ask you to vomit it.”

If the father drank the beer, it showed he had agreed that his daughter could get married to the man who asked for her hand in marriage. Mzee Okong’o had thus made his first contact with alcohol after a very long time. He felt good and light headed after the first horn full and he asked for another second horn full more than the first.

In time, he was into his fifth and sixth horn of beer. Thereafter, he had lost count and slipped into a coma. He did not know when and how his guests had gone home. He could not remember what happened or what he might have said or done. Did he behave well? Did he abuse people in his speech? Did he pass urine in public? Did he fall or break wind loudly?

  1. From the first paragraph, we can tell that the old man
    1. found the children playing
    2. never needed the children’s presence
    3. hardly felt lonely at all
    4. enjoyed narrating stories now and then.
  2. Without them in the evening he felt lonely.....”them” refers to
    1. his daughters
    2. the children
    3. his family
    4. the villagers
  3. What made the old man’s evening complete?
    1. the long and boring evenings
    2. the practice he had started
    3. the gathering of children
    4. the funny habits he had developed
  4. “Snuff” is an example of
    1. clinical medicine
    2. herbal medicine
    3. hard drug
    4. traditional medicine
  5. The old man felt nervous and shaky before taking snuff. This means
    1. he was sick
    2. he felt cold
    3. he was excited
    4. he was an addict
  6. The old man started the nasty habit.........
    1. as a way of letting out his anger
    2. to attract more customers
    3. as a way of passing time
    4. to impress the children
  7. Why did the old man chuckle?
    1. He knew he had to narrate a story
    2. He had been day-dreaming
    3. The children had made a joke
    4. He had taken too much snuff
  8. During the wedding the bride was supposed to do all the following except?
    1. She had to give her father a horn of beer
    2. The giving out of beer was witnessed by relatives
    3. Issuing of beer was in front of neighbors and relatives
    4. The horn of beer was given infront of friends
  9. What did Mzee Okong’o do during his daughter’s wedding?
    1. He vomited the beer he had taken
    2. He gave his daughter a hornfull of beer
    3. He narrated a story to his guest
    4. He took six hornfills of beer.
  10. By vomiting the beer this meant that
    1. the girl had agreed partially to wed the man
    2. the father didn’t want the girl wed
    3. the girl had not agreed to become a wife
    4. the man had sensed that was not well
  11. The beer had been brought by the man’s family, this can be compared to
    1. wealth 
    2. dowry
    3. poverty
    4. thanks-giving
  12. How many horn-fills of beer did Okong’o have?
    1. Two
    2. six
    3. uncountable
    4. seven
  13. The last paragraph tells us that the old man slipped into a “coma” this means?
    1. He became unconscious.
    2. He fell into deep sleep.
    3. He was conscious.
    4. He was completely drank.

Marking Scheme

  1. C
  2. D
  3. A
  4. C
  5. B
  6. A
  7. A
  8. D
  9. B
  10. A
  11. B
  12. C
  13. B
  14. C
  15. D
  16. C
  17. A
  18. D
  19. C
  20. B
  21. C
  22. A
  23. B
  24. D
  25. B
  26. C
  27. D
  28. C
  29. D
  30. A
  31. C
  32. B
  33. A
  34. B
  35. C
  36. D
  37. B
  38. D
  39. B
  40. B
  41. C
  42. D
  43. C
  44. B
  45. D
  46. D
  47. B
  48. B
  49. C
  50. D
Tagged under

SOCIAL STUDIES
STD 8
END OF TERM 2

sost map

Use the map of Waso area above to answer questions 1 to 7.

  1. The approximate size of Dera town is
    1. 3.5km?
    2. 7km
    3. 11km
    4. 5.5km
  2. Which one of the following statements about the forest in Waso area is not correct?
    1. It is found in highland areas.
    2. It is a natural forest. 
    3. It protects sources of rivers.
    4. It is a source of timber
  3. Tele town begun at its present site mainly due to
    1. presence of a road junction
    2. high population in the area
    3. flat relief of the land
    4. good climatic conditions
  4. Which one of the following is a social activity carried out in Dera town?
    1. Touris
    2. Gartes
    3. Trading
    4. Mining
  5. The people of Waso area are mainly
    1. christians
    2. muslims and christians
    3. pagan
    4. traditionalist
  6. County development projects in Waso area are supervised by
    1. the county office
    2. the county assembly
    3. the governor
    4. the county commissioner
  7. Land in Waso area generally rises towards
    1. South West
    2. South East
    3. North Eas
    4. North West
  8. The following are traditional methods of 1 weather observation;
    1. Clear cloudless skies. 
    2. High night temperatures.
    3. Shedding of leaves.
    4. Morning dew on the grass
    5. Appearance of locusts.
      Which one of the following combinations shows a dry seasons?
      1. (ii), (i), (iv)
      2. (iii), (iv), (v)
      3. (i), (iii). (iv)
      4. (i), (ii), (v)
  9. Rapid population growth in the rural areas in Kenya has led to
    1. growth of towns 
    2. decrease in farming land
    3. use of dry lands
    4. creation of settlement schemes
  10. Settlements schemes were established in Kenya after independence mainly to
    1. settle landless Africans 
    2. increase food production
    3. create plantations 
    4. reward Africans who collaborated
  11. The diagram below shows the formation of rainfall.
    sost q10
    Which one of the following areas does not receive the type of rainfall shows above?
    1. Slopes of mount Kilimanjaro.
    2. Coastal areas of West Africa.
    3. Lake Victoria basin.
    4. Equatorial region of the Congo Basin.
  12. Britain used indirect rule policy in administering Northern Nigeria in order to
    1. make the Africans to collaborate
    2. acquire raw materials in the region
    3. reduce the costs of administration
    4. put down Africans resistance
  13. Which one of the following groups of countries is made up of members of Economic Community of West Africa State (ECOWAS)
    1. Gabon, Chad, Congo
    2. Nigeria, Ghana, Togo
    3. Algeria, Morocco, Tunisia
    4. Cameroon, R. Congo, Angola
  14. The main reason why families in Germany enjoys high standard of living is that
    1. the county has a small population 
    2. the country has few old people 
    3. most people live in towns
    4. most people live in rural area 
  15. Continuous emission of smoke from industries has led to
    1. pollution of rivers
    2. death of marine life
    3. increase in food production
    4. increase of atmospheric temperatures. 
  16. When the Lozi people collaborated with the British they were led by
    1. Chief Khama
    2. King Lewanika
    3. King Lobengula
    4. Kabaka Mitesa!
  17. The following are characteristics of a certain type of soil
    1. It has fine particles.
    2. It cracks when dry.
    3. It absorbs too much water.
      The type of soil described above is
      1. sandy soil
      2. volcanic soil 
      3. clay soil
      4. loam soil
  18. Improvement in modern forms of communication systems in Africa has led to
    1. increase in trading activities
    2. migration of people to towns 
    3. increase of population in the rural areas
    4. increase in communication costs.
  19. Which one of the following communities entered Eastern Africa from the South?
    1. Samburu
    2. Galla
    3. Ngoni
    4. Nyamwezi
  20. Which one of the following elements of weather is correctly matched with the instrument that it measures?
      Element of weather  Instrument
    A Amount of rainfall

    Hygrometer

    B Water vapour Anemometer
    C Speed of wind Raingauge
    D Atmospheric pressure Barometer
  21. Which one of the following factors has caused decrease in life expectancy in Kenya?
    1. Decrease in amount of rainfall. .
    2. HIV and AIDS infection.
    3. Improvement f health care services.
    4. Use of family planning methods.
  22. Which one of the following duties is not performed by the deputy head teacher in school management?
    1. Chairing school management committee meetings.
    2. Teaching subjects in class.
    3. Preparing the school routine
    4. Marking pupils books.
  23. Which one of the following groups is made up of European nations that had colonies in both West and East Africa?
    1. Britain and Germany.
    2. Germany and Italy.
    3. Spain and Portugal.
    4. Belgium and Spain. 
  24. The theory of human evolution was discovered by
    1. Richard Leakey
    2. Cail Peter
    3. Charles Darwin
    4. David Livingstone
  25. Which one of the following statements about the system of government in Swaziland is correct?
    1. General elections are held every 5 years.
    2. The country has a monarchy system.
    3. Head of state is elected by voters.
    4. All members of the senate are elected.
  26. Building of gabions is a soil conservation methods used in areas where
    1. hilly areas have been cultivated
    2. soil has been eroded uniformly
    3. there is little vegetation cover
    4. water has cut deep channels
  27. The most abused drug in Kenya by people of different ages is
    1. alcoho
    2. mandrax
    3. khat
    4. heroine
  28. Areas with swampy conditions are not good for settlement because
    1. they have flat land
    2. they have steep slopes
    3. They have disease causing organisms
    4. they receive low rainfall
  29. The diagram below shows the formation of a mountain.
    sost q29
    Which one of the following mountains in Eastern Africa was formed through the process shown in the diagram above?
    1. Mount Usambara
    2. Mount Longonot
    3. Mount Ruwenzori 
    4. Mount Pare
  30. Which one of the following is a benefit of democracy in the society?
    1. There is creation of wealth.
    2. A country earns foreign exchange.
    3. Citizens are able to make political decisions.
    4. There is exchange of cultural practices. 
  31. Which one of the following groups consist of those that joined organization of Africa Unity (AOU) in 1963?
    1. Djibouti, Zimbabwe, Zambia
    2. Mozambique, Eritrea, Kenya
    3. Swaziland, Namibia, Angola
    4. Ghana, Egypt, Ethiopia
  32. Which one of the following is the main challenge facing tourism in Africa?
    1. Political conflicts.
    2. Drought
    3. Inadequate hotels
    4. Long distances between game parks.
  33. Before the colonial period the Khoikhoi people obtained food through
    1. farming
    2. livestock keeping
    3. fishing
    4. trading
  34. Which one of the following colours is correctly matched with features it represents in a map?
    1. Brown Water bodies
    2. Green Highland regions
    3. Yellow Lowland plains
    4. Blue Vegetation
  35. Which one of the following statements correctly describes an age group?
    1. People who are related by blood.
    2. People who live in the same area.
    3. People who have a common ancestor.
    4. People born around the same time.
  36. The main export crop of Ghana is
    1. Cocoa
    2. Cloves
    3. Coffee
    4. Pyrethrum
  37. The following are statement about a prominent African leader
    1. He gave land to peasant farmers.
    2. He initiated the building of a dam. 
    3. He died in 1970 while still in office.
      The person described above is
      1. Leopold Sadar Senghor.
      2. Gamal Abdel Nasser.
      3. Kwame Nkurumah.
      4. Haile sellasie.
        Use the map of Eastern Africa below to 4 answer questions 38 to 41.
        sost q38
  38. The river marked T is
    1. River Rufiji
    2. River Pangani
    3. River Ruvuma
    4. Rive Omo
  39. The mineral mined at the place marked K is used to make
    1. jewelry 
    2. salt 
    3. toothpaste
    4. heat insulator
  40. Which one of the following communities used the route marked M during the migration period?
    1. Baganda
    2. Orm
    3. Turkana
    4. Luo
  41. Three of the following statements about the country marked C are correct. Which one is not?
    1. It was colonized by Britain.
    2. It is a land locked country.
    3. It produces coffee in large quantities. 
    4. It has the highest population in Eastern Africa.
  42. The main reason why the Pokomo people moved from the Shungwaya area was 
    1. outbreak of diseases in the area
    2. attacks by the Galla people
    3. search for better farming land
    4. overpopulation in the area
  43. Which one of the following was a condition for an African to be assimilated during the French colonial period in Senegal?
    1. A person had to accept Christianity.
    2. A person had to own his own land.
    3. A person was to be living in a town.
    4. A person had to work in France
  44. Which one of the following is a processing industry?
    1. Cement making in Athi River.
    2. Fruit canning in Thika.
    3. Paper making in Webuye.
    4. Shoe making in Limuru.
  45. Marine fishing in Africa is faced by the problem of
    1. lack of fish in the seas
    2. poor roads in fishing areas
    3. water weeds growing in the seas
    4. inadequate funds to invest in fishing 
  46. Which one of the following highways connects Mombasa and Lagos?
    1. Trans Saharan Highway,
    2. Great North Road.
    3. Trans Africa Highway.
    4. Lagos Gao Oudja Highway 
  47. Kenyans demonstrate patriotism when they
    1. go to foreign countries to study
    2. attend national day celebrations
    3. take their children to school
    4. work to earn their living
  48. Which one of the following is not a Semitic speaking community in Eastern Africa?
    1. Issa
    2. Afar
    3. Sandawe
    4. Amharans
  49. Which one of the following is not a down warped lake in Africa?
    1. Lake Albert 
    2. Lake Chad
    3. Lake Victoria
    4. Lake Kyoga
  50. The windward slopes of highland regions attract large populations because
    1. they are good for farming
    2. They have gentle slopes
    3. they have thick forest
    4. they have natural resources
  51. Which one of the following statements about a clan is correct?
    1. Members share common names
    2. Members live in the same area
    3. Members are born at the same time.
    4. Members are related by blood.
  52. Large poultry farms are located near large urban centres due to
    1. good roads in urban areas
    2. nearness to market for poultry products
    3. availability of labour in towns
    4. availability of chicken feeds 
  53. The collaboration of the Agikuyu people of Dagoretti with the British was led by
    1. Nabongo Mumia,
    2. Laibon Lenana
    3. Mekatilili wa Menza
    4. Waiyaki wa Hinga
  54. Before Bantu communities migrated to Kenya they lived
    1. in the Nile valley
    2. Southern Africa
    3. the Congo basin
    4. in the Horn of Africa
  55. Which one of the following is characteristic of Mediterranean climate?
    1. Rainfall is experienced in the winter season
    2. There are two dry seasons.
    3. Temperature are high throughout the year 
    4. Rainfall is experienced throughout the year.
  56. Which one of the following is a basic need in a family?
    1. Land
    2. Wealth
    3. Food
    4. Car
  57. Natural forests in the highland regions of Kenya are conserved mainly because 
    1. they provide timber for export
    2. they protect sources of rivers 
    3. they are sources of firewood
    4. they provide raw materials for paper making
  58. The constitution of Kenya is important because
    1. it outlines the rights of Kenyans.
    2. it is taught in schools
    3. it was written after independence
    4. it was written by Kenyans 
  59. An elected member of the national assembly loses a seat if the person
    1. is absent from parliament 
    2. goes out of the country 
    3. is jailed for more than six months
    4. is arrested by the police
  60. The legislative arm of the government is headed by
    1. Attorney General
    2. President 
    3. Chief Justice 
    4. Speaker

SECTION II CHRISTIAN RELIGIOUS EDUCATION

  1. The story about the origin of life on earth is contained in the book of
    1. Leviticus
    2. Exodus
    3. Numbers
    4. Genesis 
  2. Abraham went to live in the land of Canaan because
    1. he wanted to obey God's command
    2. there was famine in Haran
    3. his relatives were in Haran
    4. he wanted to sacrifice his son
  3. A Christian value shown by Joseph when he was living in the house of Potiphar was
    1. faithfulness
    2. patience
    3. humility
    4. honesty
  4. When Moses was living in Midian he worked as a
    1. priest
    2. carpenter
    3. shepherd
    4. tanner
  5. The Israelites ate unleavened bread on the night they left Egypt because
    1. there was no yeast in Egypt
    2. they wanted to remember their suffering
    3. they were in a hurry to leave Egypt
    4. it was at night
  6. Which one of the following women served as a judge in Israel?
    1. Hannah
    2. Deborah
    3. Miriam
    4. Ruth
  7. Which one of the following was an achievement of King David?
    1. He built a temple in Jerusalem
    2. He traded with foreign Kings
    3. He made Jerusalem the capital city.
    4. He became very rich.
  8. King Ahab disobeyed God when he
    1. took the wife of Uriah
    2. tried to kill prophet Elijah
    3. married many foreign women
    4. took Naboth's Vineyard
  9. The prophecy made by Micah was that
    1. Jesus would be born in Bethlehem.
    2. God would write his laws on peoples hearts.
    3. there would be a new King in Israel
    4. the Israelites would be slaves in Egypt.
  10. When Angle Gabriel visited Mary he told her that
    1. her son would be called John 
    2. she would conceive by the power of Holy Spirit
    3. her son would be a great prophet
    4. she would live to an old age
  11. Herod wanted to kill Jesus because
    1. Jesus was becoming more famous
    2. people were putting their faith in Jesus
    3. Jesus had condemned the sin of Herod
    4. he wanted to continue ruling 
  12. The main value taught by John the baptist when he preached was
    1. respect
    2. loyalty
    3. repentance
    4. humility
  13. When Jesus called Andrew and Peter he told them that 
    1. they would preach with them in the villages
    2. they were true Israelites
    3. they would suffer with him
    4. he would teach them how to catch fish 
  14. Which one of the following values is demonstrated in the parable of the good Samaritan?
    1. Humility
    2. Kindness
    3. Patience
    4. Honesty
  15. When Jesus changed water into wine he had gone to Cana to
    1. raise Lazarus
    2. preach at the Synagogue
    3. attend a wedding
    4. eat in the house of Zacchaeus
  16. Which one of the following was done by Jesus on the night he was arrested? 
    1. He washed his disciples' feet.
    2. He changed water into wine.
    3. He walked on water
    4. He cursed a fig tree.
  17. Mary Magdalene recognized Jesus near the tomb on the day he resurrected when
    1. Jesus called out her name
    2. Jesus showed her his scars
    3. Jesus preached to her
    4. Jesus performed a miracle
  18. On the day of Pentecost the disciples were able to
    1. perform many miracles.
    2. defend themselves
    3. escape from prison
    4. speak in foreign languages
  19. The person who was chosen to take the place of Judas Iscariot was
    1. Barnabbas
    2. Stephen
    3. Matthias
    4. Paul
  20. Which one of the following people was raised by Paul?
    1. Aeneas
    2. Eutychus
    3. Tabitha
    4. Cornelius
  21. Which one of the following is a fruit of the Holy Spirit?
    1. Faithfulness
    2. Faith
    3. Wisdom
    4. Healing
  22. Which one of the following specialists is found in both traditional African and Christian communities?
    1. Herbalist
    2. Priest
    3. Medicine man
    4. Rainmaker
  23. Children are named after ancestor in traditional African communities in order to
    1. please their parents
    2. make their great leaders
    3. keep the family lineage
    4. make them live to old age
  24. Places of Worship in traditional African societies are respected because
    1. they have evil spirits
    2. they are located in lonely places
    3. they are dark
    4. they are considered sacred
  25. When people offend God in Traditional African societies they
    1. offered sacrifices
    2. wear torn clothes 
    3. shave their heads
    4. skip meals
  26. Christians meet together to pray in order to
    1. eat together
    2. strengthen their unity in Christ 
    3. know one another
    4. help the needy
  27. Which one of the following is the best leisure activity for standard eight pupil during school holidays?
    1. Reading magazines 
    2. Playing games 
    3. Attending birthday parties
    4. Visiting the sick
  28. The church promotes education in Kenya through
    1. preaching in schools
    2. establishing schools
    3. baptizing children
    4. teaching children moral values
  29. Husbands are advised to love their wives
    1. as they love themselves 
    2. because their wives love them too
    3. as Christ loved the church
    4. should be loved 
  30. European Missionaries taught Africans how to read in order to
    1. enable them get jobs
    2. make them equal to the Europeans
    3. help them stop their customs 
    4. enable them preach Christianity.

MARKING SCHEME

  1. B
  2. B
  3. A
  4. B
  5. D
  6. C
  7. C
  8. C
  9. B
  10. A
  11. A
  12. C
  13. B
  14. A
  15. D
  16. B
  17. C
  18. A
  19. C
  20. D
  21. B
  22. A
  23. A
  24. C
  25. B
  26. D
  27. A
  28. C
  29. B
  30. C
  31. D
  32. A
  33. B
  34. C
  35. D
  36. A
  37. B
  38. A
  39. C
  40. D
  41. A
  42. B
  43. A
  44. B
  45. D
  46. C
  47. B
  48. C
  49. A
  50. A
  51. D
  52. B
  53. D
  54. C
  55. A
  56. C
  57. B
  58. A
  59. C
  60. D
  61. D
  62. A
  63. A
  64. C
  65. C
  66. B
  67. C
  68. D
  69. A
  70. B
  71. D
  72. C
  73. D
  74. B
  75. C
  76. A
  77. A
  78. D
  79. C
  80. B
  81. A
  82. B
  83. C
  84. D
  85. A
  86. B
  87. D
  88. B
  89. C
  90. D

 C8 ET2 SST s1

Study the map of Katana area and answer questions 1 - 7.

  1. The land in Katana area slopes from
    1. south west to north east
    2. north east to south west
    3. north to south west
    4. south east to north east.
  2. Which type of soil is likely to be found near the saw mill?
    1. Sand soil
    2. Black cotton soil 
    3. Red volcanic soil 
    4. Loam soil.
  3. The highest point in Katana area is likely to be found near
    1.  the cattle dip 
    2. the quarry 
    3. Tula Market 
    4. the saw mill.
  4. What is the approximate area of the cattle ranch?
    1. 15km 
    2. 20km 
    3. 10km 
    4. 18km
  5. Which economic activity is not carried out in Katana area?
    1. Crop farming 
    2. Transport 
    3. Trade 
    4. Fishing
  6. Katana Town has grown to its present size mainly because of
    1. security 
    2. education service
    3. county office 
    4. transport network.
  7. The main reason that has influenced the location of the sawmill is
    1. presence of a river 
    2. presence of transport 
    3. nearness to the forest
    4. availability of labour.
  8. The original homeland of the River-lake Nilotes was
    1. the Congo Basin
    2. the horn of Africa 
    3. Bahr-el-Ghazal 
    4. Arabian Peninsula.
  9. Which one of the following titles used in the kingdom of Swaziland is correctly matched with its officer?
    1. Ngwenyama - king 
    2. Ndlovukhazi - family council
    3. Sikhulu - prince's mother
    4. Lusendvo - chief
  10. Which one of the following statements is true about pastoral farming among the Maasai?
    1. they grow fodder crops for their animals
    2. they mainly keep their animals in ranches 
    3. they migrate with their animals in search of pasture and water
    4. they willingly sell their animals to earn income.
  11. Below are duties of a school administration.
    1. Takes care of all facilities bought by the school 
    2. Receives all school funds and keep records of expendiure
    3. Writes minutes during school management committee meetings.
      The duties described above are performed
      1. the deputy headteacher 
      2. the headteacher
      3. the chairperson of the school committee
      4. the school senior teacher.

Use the diagram below to answer questions 12 and 13.

             C8 ET2 SST Q12

  1. The winds marked R are
    1. south west monsoon winds
    2. harmattan winds
    3. westerlies
    4. south east monsoon winds.
  2. The reason why the coastal region near Accra receives less rainfall than Axim is because
    1. Accra is at a low altitude 
    2. winds blow parallel to the coast of Accra 
    3. Accra receives cool and dry winds
    4. Axim is near large water bodies.
  3. Which one of the following communities was ruled by a chief during the pre-colonial period?
    1. Ameru
    2. Abawanga 
    3. Maasai 
    4. Khoikhoi
  4. A Japanese contractor wants to apply for Kenya citizenship. The best advice you can give him is to
    1. marry a Kenyan woman and then apply for citizenship
    2. purchase a property in Kenya and then apply for a citizenship
    3. continue living in Kenya continously for seven years
    4. apply for citizenship immediately he turns 28 years.
  5. In traditional African societies, the appearance of new moon was associated with
    1. the coming of good seasons 
    2. the coming of good harvests
    3. the coming of a dry season 
    4. the coming of rains.
  6. Below are facts about an early visitor to East Africa.
    1. He was the first European to travel to mEast Africa 
    2. He found a shorter route to India 
    3. Defeated the sultan Ibrahim of Kilwa and forced him to pay taxes
      The early visitor described above is
      1. Dr. David Livingstone
      2. Sir William Mackinon
      3. Vasco Da Gama
      4. John Speke.
  7. Which one of the following dams in Africa is correctly matched with the river where it is located?
     Dam   River 
     A. Aswan   R. Volta 
     B. Kariba  R. Zambezi 
     C. Akosombo   R. NIle 
     D. Masinga  R. Niger 
  8. Deserts in Africa experience very low temperature at night. This is because
    1. the sun does not shine at night 
    2. a mass of cool air blows to the deserts at night
    3. the clear skies lead to heat loss at night
    4. the sun is always overhead within the deserts.
  9. Below are achievements of a certain leader in Africa.
    1. Was a founder member of OAU 
    2. Resisted Italian invasion 
    3. France helped him to modernise his army. The leader described above is
      1. Haile Selassie 
      2. Nelson Mandela
      3. Gama Abdel Nasser 
      4. Julius Nyerere.

Study the diagram below and answer questions 21 and 22.

           C8 ET2 SST Q21

  1. Which one of the following statements is true about the population pyramid shown above?
    1. Most of the population is below 15years.
    2. People over 40 years age are few.
    3. Young people are fewer than those above 35 years.
    4. Death rate among children is high.
  2. The population pyramid shown above represents one of the following countries. Which one is it?
    1. Germany
    2. Kenya
    3. India
    4. Tanzania
  3. Which one of the following statements is true about the geographical position of Africa?
    1. It lies to the south of Europe 
    2. It lies to the East of the Indian Ocean
    3. It is found to the west of the Mediterranean sea
    4.  It borders Pacific Ocean.
  4. The main role of the consitution of Kenya is that it
    1. ensures development projects are undertaken by the government.
    2. gives the president powers to dissolve parliament.
    3. contains the records of the laws and rules of our country.
    4. contains policies of the ruling party.
  5. The most widespread means of communication in rural areas is
    1. newspaper 
    2. television
    3. internet 
    4. radio.
  6. The main problem facing road transport in Eastern Africa is
    1. employment of unqualified drivers 
    2. unstable fuel prices
    3. narrow roads with sharp bends
    4. lack of money to construct better roads.
  7. Which one of the following was the title given to ruler of Nyamwezi chiefdom in the 19th century?
    1. Ntemi
    2. Kabaka 
    3. Chief Mkwawa
    4. Minule
  8. Which one of the following minerals is used in making metal pipes and tubes?
    1. Copper
    2. Petroleum
    3. Flouspar
    4. Gold
  9. Who among the following traditional African leaders collaborated with the British during establishment of colonial rule?
    1. Samore Toure
    2. Mekatilili
    3. Lewanika
    4. Kabaka Mwanza
  10. In Kenya, laws to protect county interests are made by
    1. national assembly
    2. senate
    3. cabinet
    4. attorney general.
  11. Which one of the following countries in Africa is correctly matched with its capital city?
    1. Cameroon - Luanda 
    2. Zimbambwe - Harare
    3. Angola - Libreville
    4. Gabon - Yaonde
  12. Which one of the following is the main effect  of destruction of natural forests on the slopes of Mau region?
    1. Shortage of herbal medicine 
    2. Death of wild animals
    3. Shortage of wood fuel
    4. Reduced volume of water in lakes.
  13. The main problem limiting trade among members of ECOWAS is
    1. they use different national languages 
    2. they have poor transport links 
    3. they use different currencies 
    4. they produce similar goods.
  14. The method that was used by the Belgians to administer Congo was
    1. Assimilation
    2. association
    3. direct rule
    4. indirect rule.
  15. The best way to control rill erosion is by
    1. building gabions
    2. planting cover crops 
    3. crop rotation
    4. mulching.

Study the map of Africa below and answer questions 36-39

           C8 ET2 SST Q36

  1. The lake marked R was formed through
    1. erosion 
    2. faulting 
    3. downwarping
    4. deposition
  2. The community that migrated to Eastern
    Africa using the route P was
    1. Arabs
    2. Khoisan
    3. Ngoni
    4. Pokomo
  3. Which one of the following factors does not influence climate of the area marked S?
    1. Shape of the land
    2. Ocean currents
    3. Winds
    4. Latitude
  4. The vegetation in the region marked Q comprises of
    1. sweet smelling shrubs 
    2. trees with large trunks 
    3. tall elephant grass 
    4. plants with thorny leaves.
  5. Which one of the following pre-historic sites is found in Sudan?
    1. Amara
    2. Lalibela 
    3. Koobofora 
    4. Nsongezi
  6. The first African to be nominated to LEGCO in 1944 was
    1. James Gichuru
    2. Harry Thukie
    3. B.A Ohanga
    4. Eliud Mathu.
  7. Which one of the following is a way of promoting peace in the society?
    1. Punishing law breakers
    2. Forming women groups
    3. Encouraging forgiveness
    4. Inviting consultants into the country.
  8. The followimg are conditions favouring growth of a certain crop. 
    1. Temperature 21°C -26°C 
    2. Rainfall of more than 1200mm i
    3. Protection from strong winds
      The crop described above is
      1. tea
      2. coffee
      3. bananas
      4. sisal.
  9. The best way to stop drug abuse in schools is by
    1. fencing the school compound 
    2. punishing drug users
    3. arresting drug dealers
    4. creating awareness on dangers of drugs.
  10. Civil marriages in Kenya are presided over by
    1. clan elders
    2. magistrate
    3. religious leaders
    4. members of parliament.
  11. Which of the following language groups consists of Cushitic speakers only?
    1. Maasai, Jemps, Rendille 
    2. Borana, Galla, Sanye
    3. Kipsigis, Sabaot, Gabbra 
    4. Burji, Somali, Turgen.
  12. The people of Zimbambwe achieved their independence mainly by
    1. using political parties 
    2. peaceful negotiations
    3. armed struggle 
    4. organizing boycotts and strikes.
  13. Which one of the following is a modern method of preserving fish in Kenya?
    1. Salting 
    2. Smoking
    3. Canning
    4. Sun drying.
  14. The minimum age requirement for a person wishing to be a member of the national assembly is
    1. 18 years
    2. 21 years 
    3. 35 years
    4. 30 years.
  15. Which one of the following is a way of managing rapid population growth?
    1. Increasing food production 
    2. Providing family planning services
    3. encouraging immigration
    4. giving child allowances.
  16. Which one of the following is an effect of rotation of the earth?
    1. Causes equinoxes 
    2. Causes seasons 
    3. Causes changes in the position of the midday sun
    4. Causes day and night.
  17. Which one of the following groups of rivers drains to the Antlantic Ocean?
    1. Cunene, Lempopo, Zambezi 
    2. Senegal, Cunene, Orange 
    3. Orange, Shibelli, Niger 
    4. Zambezi, Limpopo, Ruruma
  18. The main way in which people interact today is through
    1. games and sports
    2. education 
    3. trade
    4. social media.
  19. The main objective of the formation of OAU was to
    1. bring greater unity among African countries 
    2. eliminate all forms of colonialism 
    3. fight HIV and AIDS
    4. fight corruption and promote good governance.
  20. Three of the following are problems facing tourism in Eastern Africa except?
    1.  poaching 
    2. frequent accidents 
    3. poor transport 
    4. terrorism.
  21. What is the time in town X located along longitude 40°W if the time in Accra is 12 noon?
    1. 2:40pm
    2. 9:20am
    3. 9:20pm
    4. 2:40am
  22. On which day do we remember the attainment of idependence in Kenya?
    1. 19 June 1963
    2. 12h December 1963 
    3. 20 October 
    4. 12th December 1964.
  23. School routine is important to a school mainly because
    1. it promotes order in a school
    2. pupils get time to rest 
    3. pupils come to school late 
    4. it expresses aims and beliefs of a school.
  24. Which one of the following was a function of Ntemi among the Nyamwezi?
    1. Was the head of the kingdom
    2. Controlled trade in his chiefdom 
    3. Settled land disputes 
    4. Was incarge of collecting taxes.
  25. The method of solving disputes that involves judicial settlement is known as
    1. litigation
    2. arbitration
    3. conciliation
    4. negotiation.

SECTION II: CHRISTIAN RELIGIOUS EDUCATION

  1. What punishment did God give to Eve because of her disobedience?
    1. Suffering while giving birth
    2. Putting on clothes
    3. Sweating to earn a living
    4. Eating selected fruits.
  2. Who among the following is known as a friend of God?
    1. Noah
    2. Joseph 
    3. Enock 
    4. Abraham
  3. When Moses was called by God, he was living in
    1. Ur
    2. Haran
    3. Midian
    4. Canaan.
  4. Jacob dreamt at
    1. Peniel
    2. Shechem
    3. Bethel
    4. Canaan.
  5. Which commandment was broken by the Israelites when they worshipped a golden calf?
    1. Do not commit adultery
    2. Do not desire another man's property 
    3. Do not make images for yourself
    4. Do not accuse anyone falsely.
  6. David annoyed God when he
    1. killed Goliath
    2. killed Uriah 
    3. killed Naboth
    4. cried over Soul's death.
  7. The jews celebrated the passover to remember when
    1. they were given the ten commandments 
    2. Moses was called by God 
    3. they entered into the land of Caanan
    4. they were delivered from Egypt.
  8. Who among the following prophets was called by God while still young?
    1. Moses
    2. Isaiah
    3. Jeremiah 
    4. Hosea
  9. Who among the following kings was annointed by prophet Nathan? King 
    1. Saul 
    2. David
    3. Solomon 
    4. Ahab
  10. David played the harp for king Saul. This teaches Christians that leisure time should best be used for 
    1. helping others
    2. enjoying oneself 
    3. visiting places 
    4. developing new skills.
  11. Mary mother of Jesus hailed from the town
    1. Jerusalem 
    2. Bethlehem
    3. Bethany
    4. Nazareth
  12. Which one of the following quotes is not a beatitude. Blessed is
    1. he who comes in the name of the Lord
    2. are those who mourn, for they shall be comforted
    3. are merciful, for they shall obtain mercy 
    4. are pure in heart, for they shall see God.
  13. "This is my own dear son with whom am pleased with. Listen to him." These words were spoken during Jesus'
    1. baptism
    2. temptation
    3. transfiguration
    4. crucification
  14. Which one of the following parables does not teach on prayer?
    1. The widow and the unjust judge
    2. The prodigal son 
    3. The pharasee and the tax collector
    4. The friend at midnight
  15. A miracle of Jesus which shows his power over nature is
    1. healing the paralysed man
    2. walking on water
    3. healing blind Bartimaeus
    4. raising Jairus daughter.
  16. The two disciples that Jesus walked with after resurrection were on their way from
    1. Emmaus
    2. Jerusalem 
    3. Jericho
    4. Bethlehem.
  17. Who among the following disciples of Jesus was not a fisherman?
    1. Matthew
    2. Andrew
    3. Peter
    4. James
  18. Before the Roman governor, Jesus was not accused of 
    1. claiming to be the king of Jews
    2. claiming to destroy the temple and build it in three days 
    3. inciting people not to pay taxes 
    4. misleading people and subverting the nation.
  19. During the day of Pentecost, the presence of God was witnessed by
    1. fire
    2. strong wind
    3. dove
    4. cloud and smoke.
  20. What advice did John the Baptist give to the tax collector?
    1. To pay taxes to the emperor
    2. To obey lawful authority 
    3. Not to collect more taxes than required 
    4. Not to accuse anyone falsely.
  21. Who among the following offered his tomb for the burial of Jesus?
    1. Simon of Cyrene
    2. Nicodemus
    3. Simon the Patriot
    4. Joseph of Arimathea
  22. Which one of the following is a common belief between Christians and Africans about God?
    1. God is the creator
    2. God is three in one
    3. God is a jealous God
    4. God lives in heaven.
  23. The following are all religious leaders in African religion except
    1. prophets
    2. priests
    3. bishops
    4. diviners.
  24. Which one of the following virtue was mainly taught to children in African traditional society? 
    1. Respect
    2. Tolerance 
    3. Patience
    4. Courage
  25. The main reason why Christians should obey their leaders is because they
    1. are chosen to rule with justice
    2. are chosen by God
    3. keep peace in the community
    4. have power and authority.
  26. The following are gifts of the holy spirit except
    1. patience
    2. faith
    3. wisdom
    4. preaching
  27. All parents should encourage their children to practice
    1. nepotism
    2. chastity
    3. discrimination
    4. dishonesty
  28. Which of the following is the best way for a Christian to use his wealth?
    1. Going to trips in other countries
    2. Starting community development projects
    3. Building big houses for their families
    4. Saving in the bank for future.
  29. Which one of the following Jewish feast was Jesus celebrating during the last supper?
    1. Pentecost 
    2. Passover
    3. Ascension
    4. New year
  30. Which missionary society sent John Rebman to Kenya?
    1. Holy Ghost Fathers 
    2. Mill Hill Fathers
    3. Church of Scotland Mission
    4. Church Missionary Society.

SECTION II: ISLAMIC RELIGIOUS EDUCATION

  1. The following are lessons from surah Al Lahab except one. Which one?
    1. Bad plans can never succeed 
    2. Evil will cause downfall
    3. Allah will punish evil doers 
    4. Disbelievers will enter paradise.
  2. 'Fadhalikala'adhi yadhu'ul yatim.' This verse is found in surah
    1. Al-Maun
    2. Al-Masad
    3. Al-Zilzalah 
    4. Al-Qafirun.
  3. In which of the following surah does Allah promises man that for every difficulty comes relief?
    1. Al-Kauthar 
    2. Al-Masad
    3. Al-Inshirah
    4. Al-Qafirun
  4. A lesson that Muslim learn from surah Al-Kafirun is that
    1. a clear border should be put in worshipping.
    2. Allah has close associates.
    3. Muslims should tolerate by worshiping like others.
    4. anyone can believe in gods.
  5. Which two aspects of the religion have been emphasised in surah Al-Bayyinah?
    1. Swalat and Hajj
    2. Swalat and Zakat
    3. Zakat and Ramadhan
    4. Zakat and Hajj
  6. Which among the following is not a sign of a hypocrite?
    1. Teiling lies
    2. Breaking a promise 
    3. Does not pray 
    4. Does not keep a trust.
  7. Complete the hadith, 'he is not a believer
    1. who annoys others
    2. who annoys parents
    3. who kills enemies 
    4. who does not pray.
  8. Which one among these phrases is not mentioned in the Adhan?
    1. Allahu Akbar
    2. Kadiqamatuh Swalah 
    3. Laillaha Illallah 
    4. Haiyallal Swallah.
  9. Which one among these conditions does not necessitate Tayammum?
    1. Water being inadequate 
    2. Water being cold
    3. Water being surrounded by enemies
    4. A skin condition or disease to the user.
  10. Which one among the following actions nullifies swalah? 
    1. Talking while praying
    2. Facing Qibla 
    3. Taking wudhu before swalah 
    4. covering aura.
  11. According to the eating habits taught by the prophet (p.b.u.h) one should
    1. eat with a spoon
    2. eat everything on the plate
    3. eat while standing
    4. eat what is before him. 
  12. Which statement is true about Haji?
    1. It is a pillar of Iman
    2. It is a pillar of Islam
    3. It is faradh to all Muslim 
    4. It is the pillar of Islam.
  13. HIV/AIDS is a major cause of death. Which one is the best way for school children to use to avoid it? 
    1. Avoiding people infected
    2. Being faithful 
    3. Abstinence 
    4. Having one partner
  14. Which is the best action for Omar to take when he finds a poor inan begging at their gate as he goes to school?
    1. Pray for him and send him away 
    2. Chase him and call police
    3. Adopt him as a brother
    4. Give him food and try find job for him.
  15. Which is the correct order of events that takes place immediately a child is born
    1. Iqama, tahniq, aqiqah, adhan
    2. Tahniq, adhan, iqama, haqiqa 
    3. Iqama, adhan, tahniq, aqiqah
    4. Aqiqah, adhan, iqama, tahniq
  16. Who among the following prophets was given suhut? 
    1. Muhammad 
    2. Ibrahim
    3. Musa
    4. Daud
  17. Which one of these pillars of the religion is a gate pass to Islam?
    1. Swalah
    2. Shahada 
    3. Zakat
    4. Ramadhan
  18. On your way home, you meet a black cat drowning. What is the best thing to do?
    1. Stone it
    2. Run home
    3. Save it
    4. Avoid the route.
  19. Who among the following gave the idea of constructing a trench?
    1. Musab bin Umeir
    2. Zubeir bin Awad 
    3. Salman Al-Farsi
    4. Umar bin Khatab
  20. According to the teachings of the prophet (S.A.W) on trade, which one of these activities is haram in trade? 
    1. Purchasing of goods in bulk
    2. Purchasing of goods on credit
    3. Giving out loans with interest
    4. Making huge profits.
  21. Which one of these commonalities in Islam emphasizes on the importance of punctuality?
    1. Adhan
    2. Wudhu
    3. Hajj
    4. Swalat
  22. Hamza, your classmate, has been fasting. Suddenly he accidentally sip water. What advice would you give him?
    1. Break the fast and eat
    2. Drink enough water and continue fasting
    3. Spit the water and continue fasting 
    4. Break the fast until the next Ramadhan.
  23. Which one of the following is the main reason why the Muslims were defeated in the battle of Uhud? 
    1. Muslims were fearful and few
    2. Muslims had inferior weapons and disunite
    3. Muslims had suffered a great loss in Badr
    4. Muslims disobeyed the prophet.
  24. Who was the first caliphate in Islam?
    1. Omar R.A 
    2. Abubakar R.A 
    3. Ali R.A 
    4. Uthman RA
  25. The following is the meaning of the word Taqwa. Which is the correct one? 
    1. Fear of Allah 
    2. Believing in Allah
    3. Oneness of Allah
    4. Worshipping Allah
  26. You have been invited by a friend for a birthday party. On ariving, you notice alcohol is served. What is the best thing for you to do?
    1. Drink soft drink 
    2. Turn down the offer and go back home
    3. Warn them but take eventually 
    4. Call the police?
  27. The following are terms used while swearing. Which one is not?
    1. Wallahi
    2. Tallahi
    3. Billahi
    4. Bismillahi
  28. The main cause of spreading HIV/AIDS is
    1. blood transfusion
    2. sexual intercourse 
    3. using sharp objects
    4. mother to child
  29. Which one of the following attributes of Allah is correctly matched?
    1. Al-Qahhar - inventor
    2. Al-Malik - the peaceful
    3. Al-Ghaffar - the forgiver
    4. Al-Khaliq - provider
  30. The main reason why the Arabs came to the coast of East Africa was
    1. to spread Islam
    2. for intermarriage 
    3. to trade 
    4. to stop slave trade.

MARKING SCHEME

  1. A
  2. C
  3. D
  4. C
  5. D
  6. D
  7. C
  8. C
  9. A
  10. C
  11. B
  12. A
  13. B
  14. D
  15. A
  16. D
  17. C
  18. B
  19. C
  20. A
  21. C
  22. A
  23. A
  24. C
  25. D
  26. D
  27. A
  28. A
  29. C
  30. B
  31. B
  32. D
  33. D
  34. C
  35. B
  36. C
  37. C
  38. D
  39. B
  40. A
  41. D
  42. C
  43. C
  44. D
  45. B
  46. B
  47. C
  48. C
  49. B
  50. B
  51. D
  52. B
  53. C
  54. B
  55. B
  56. B
  57. B
  58. A
  59. B
  60. A
  61. A
  62. D
  63. C
  64. C
  65. C
  66. B
  67. D
  68. C
  69. B
  70. A
  71. D
  72. A
  73. C
  74. B
  75. B
  76. B
  77. A
  78. B
  79. A
  80. C
  81. D
  82. A
  83. C
  84. A
  85. B
  86. A
  87. B
  88. B
  89. B
  90. D

SCIENCE
STD 8
END TERM 2 

  1. When breathing in;
    1. ribs moves upwards and inwards
    2. the volume of the chest increases
    3. pressure in the lungs decreases
    4. the diaphragm become flat.
  2. An empty metallic ship floats on water because of
    1. materials
    2. weight
    3. Size
    4. hape.
  3. The blood vessels that carries blood from the lungs to the heart and from the heart to the body respectively are
    1. pulmonary vein and aorta
    2. vena cava and aorta
    3. pulmonary artery and aorta
    4. aorta and vena cava.
  4. In the female reproductive system, a zygote is formed in the
    1. womb
    2. vagina
    3. ovary
    4. oviduct.
  5. Which one of the following vaccines is administered at birth?
    1. BCG
    2. Anti-measles
    3. DPT
    4. Anti-malaria 
  6. Which one of the following animals does not breast feed its young ones?
    1. Whale
    2. Bat
    3. Shark
    4. Seal
  7. The windvane below was made by pupils using materials found in their school.
    Sci q7
    Which one of the following statements is incorrect about the instrument above?
    1. It shows the wind direction.
    2. The arrow head should be small than the tail. 
    3. It should be place away from buildings.
    4. Its arrowhead points the direction where the wind is blowing to.
  8. Which one of the following livestock parasites attacks the livestock without living on it?
    1. Tick
    2. Tsetse fly
    3. Flea
    4. Mite
  9. Which type of teeth below is incorrectly matched with its function?
    1. Canine - cutting
    2. Incisors - biting
    3. Premolar - chewing
    4. Molar - grinding
  10. What is cross pollination?
    1. The transfer of pollen grains from anthers to stigma.
    2. The transfer of pollen grains from the anthers of one flower to the stigma of another flower in the same plant.
    3. The transfer of pollen grains from anther to stigma of different flowers of different kinds.
    4. The transfer of pollen grains from the anthers of one flower to the stigma of another flower on different plants but of the same kind.
  11. Which one of the following explains the function of white blood cells?
    1. Combine with oxygen.
    2. Fight the disease causing germs. 
    3. Carry digested food materials.
    4. Clothing the blood. 
  12. Which animals provides mutton and dairy?
    1. Sheep
    2. Cows
    3. Goats
    4. Pigs
  13. Children born to a smoking mother during pregnancy are least likely to be
    1. underweight
    2. having weak immunity
    3. having poor mental growth
    4. strong and healthy
  14. Which one of the process following takes place immediately after sperms cell and ovum unite?
    1. Fertilization
    2. Ovulation 
    3. Implantation 
    4. Menstruation
  15. The chart below shows the classification of plants.
    Sci q15
    Which one of the following correctly shows the plant represented by letters M, N, and P? 
      M N P
    A Maize Ferns Cypress
    B Lichen Algae Mushroom
    C Beans Cactus Puff balls
    D Acacia Cedar Toadstool
  16. Which one of the following shows major non-living components of environment?
    1. Animals, plants.
    2. Sound, light, heat.
    3. Soil, stones, plants.
    4. Soil, air, water.
  17. The most effective method of controlling the spread of HIVIAIDS among the youth is by
    1. being faithful
    2. abstinence
    3. using condoms
    4. having only one partner. 
  18. Miraa, tobacco and alcohol have one thing in common which one is it? They are
    1. narcotic
    2. prohibited in Kenya
    3. not illegal in Kenya
    4. depressants.
  19. Which one of the following does not show how plants and animals depend on each other?
    1. Animals getting shade
    2. Birds sheltering on trees.
    3. Pollination.
    4. Animals getting carbon dioxide from green plants.
  20. The diagram below shows an improvised simple liquid thermometer.
    Sci q20
    Which one of the following would make it measure slight changes in temperature?
    1. Tightening the cork.
    2. Making the straw and small narrower.
    3. Raising the temperature.
    4. Adding more coloured water.
  21. In a food chain, cabbages can be classified under
    1. decomposers
    2. primary consumers
    3. tertiary consumers
    4. producers
  22. When carrying out an experiment on drainage in soil, what does not need to be the same?
    1. Amount of water. 
    2. Size of the funnel.
    3. Amount of the soils.
    4. The type of the soil.
  23. The illustration below shows the changes of states in matter.
    Sci q23
    Liquid Which two processes require an increase in temperature?
    1. M and N
    2. P and R
    3. M and R
    4. N and P
  24. Heat from the sun reaches the leaves of the plants through a process called
    1. Radiation
    2. Convection
    3. Conduction
    4. Induction. 
  25. Below are characteristics of matter,
    1. Definite shape.
    2. Definite size.
    3. Definite mass.
      Which one of the above best describe paraffin?
      1. () and (ii)
      2. (i) and (iii)
      3. (ii) and (iii)
      4. None
  26. The second and seventh planets in the solar system respectively are:
    1. Venus and Uranus
    2. Earth and Uranus.
    3. Venus and Saturn.
    4. Earth and Neptune.
  27. Wires of the same material and thickness but of different lengths labelled R,T, S and M were fixed on a wooden plunk as shown below.
    Sci q27
    Which wire produced the highest sound when plucked?
    1. M
    2. S
    3. T
    4. R
  28. Which one of the following is not a function of leaves of a green plant?
    1. Breathing
    2. Transpiration
    3. Absorption
    4. Photosynthesis
  29. Which one of the following is not a cereal crop?
    1. Maize
    2. Oats
    3. Beans
    4. Sorghum
  30. Which crop pest below is not correctly matched with the part of the plant it attacks?
    1. Aphids - All kinds of grains
    2. Weaver birds - Grains of cereals
    3. Stalk borers - Inside of the stems
    4. Cut worms - Stem of young plants. 
  31. Std 5 pupils transferred some amount of water in different containers as shown below.
    Sci q31
    It is possible to conclude that liquids
    1. occupies space.
    2. have definite mass and shape.
    3. exerts pressure in all directions.
    4. takes the shape of the containers.
  32. Which parts of a flower makes the male parts?
    1. Anthers and stigma.
    2. Stigma and style.
    3. Petal and ovules.
    4. Filament and anthers.
  33. Which one of the following weeds has thorns and green fruits which turn yellow when ripe?
    1. Oxalis
    2. Sódom apple
    3. Wondering jew 
    4. Black jack 
  34. Which one of the following is not an effect of livestock diseases?
    1. Blood in the stool.
    2. Reduced yield. 
    3. Low quality products.
    4. Death.
  35. Which small animals below is not classified in the same group as spider?
    1. Mite
    2. Scorpion
    3. Tick
    4. Crab 
  36. Which one of the following is not a use of water in the industries?
    1. Making fountains.
    2. Cleaning coffee berries.
    3. Cooling machines.
    4. Irrigation.
  37. When fertilizer is used excessively to improve the quality of the soil, it may lead to 
    1. water pollution
    2. soil erosion
    3. air pollution
    4. poor soil drainage.
  38. Sheet erosion can be controlled by
    1. building gabions.
    2. terracing
    3. planting cover crops
    4. making cut off drains.
  39. What is the importance of adding manure when preparing compost manure?
    1. Introduce decomposers.
    2. Supply additional nutrients.
    3. Spread the rate of decomposition.
    4. Aerate the compost
  40. Which one of the following methods of food preservation dehydrates food?
    1. Canning
    2. Freezing
    3. Use of low temperature
    4. Drying.
  41. The diagram below shows a simple electric circuit made by Std 7 pupils.
    Sci q41
    Which materials can be used in the gap marked P to make the bulb to light?
    1. Aluminium foil
    2. Stick
    3. Plastic ruler
    4. Paper
  42. During a class experiment, pupils mixed all the liquids below in one glass bottle.
    1. Water
    2. Milk
    3. Kerosene
    4. Cooking oil
      How many layers were formed after mixing?
      1. 1
      2. 2
      3. 3
      4. 4
  43. Which one of the following is the most effective methods of separating a mixture of insoluble solid from liquid?
    1. Filtering
    2. Winnowing
    3. Sieving
    4. Decantation
  44. The chart below shows air composition.
    Sci q44
    Which letter above shows the part of air used for rusting of iron nails?
    1. W
    2. X
    3. Z
  45. The soil that holds the least amount of water
    1. has the highest capillarity
    2. makes the longest ribbons
    3. has the largest air spaces
    4. is sticky when wet.
  46. The force that opposes movement is measured using
    1. spring balance
    2.  weight scale
    3. beam balance
    4. kilograms
  47. The diagram below shows a lever in use.
    Sci q47
    In order to make work easier, effort should be applied at the point marked
    1. K
    2. .P
    3. R
  48. Which one of the following is not a source of electricity?
    1. Dynamol
    2. Dry cells.
    3. Solar panel
    4. Torch 
  49. The diagram below was used by Std 6 pupils to investigate a certain property of light.
    Sci q49
    Which property of light were they investigating?
    1. Light travel in all directions.
    2. Reflection of light.
    3. Light travels in a straight line.
    4. Refraction of light.
  50. What is convection?
    1. Transfer of heat through solids.
    2. Transfer of heat through liquids and gases.
    3. Transfer of heat through liquids onl
    4. Transfer of heat through vacuum.

MARKING SCHEME

  1. D
  2. D
  3. A
  4. D
  5. A
  6. C
  7. D
  8. B
  9. A
  10. D
  11. B
  12. C
  13. D
  14. A
  15. D
  16. D
  17. B
  18. C
  19. D
  20. B
  21. D
  22. D
  23. A
  24. A
  25. C
  26. A
  27. A
  28. C
  29. C
  30. A
  31. D
  32. D
  33. B
  34. A
  35. D
  36. D
  37. A
  38. C
  39. A
  40. D
  41. A
  42. B
  43. A
  44. D
  45. C
  46. A
  47. D
  48. D
  49. C
  50. B

 

  1. Which group below consists only of legal drugs in Kenya?
    1. Khat, alcohol, tobacco
    2. Bhang, cocaine, mandrax
    3. Tobacco, inhalants, miraa 
    4. Cocaine, tobacco, bhang
  2. Which one of the following is a common sign between symptomatic and incubation stages of HIV infection? At both stages
    1. the patient can transmit the virus knowingly
    2. the patient has AIDS
    3. signs and symptoms are visible 
    4. a HIV test shows negative results.
  3. The chart below shows immunisation schedule for infants.
    C8 ET2 SCI Q3
    Which pair of vaccines below are not all correctly classified?
    1. BCG and Hepatitis B 
    2. 3rd OPV and 1st DPT
    3. Hepatitis B and 2nd DPT 
    4. 1st DPT and 1stOPV.
  4. Which one of the following is not an interdependence between plants?
    1. Habitat 
    2. Shade 
    3. Food 
    4. Shelter
  5. All the following plants have the same type of root except
    1. sweet potatoes
    2. banana 
    3. mango 
    4. irish potatoes.
  6. Some pupils destroyed all the anthers in a certain flower before pollination. Which one of the following is most likely to take place after some time in the same flower?
    1. The ovary developed into a fruit 
    2. Pollination did not take place 
    3. Pollen tube did not develop 
    4. The whole flower withered.
  7. The diagram below shows a method of separating mixtures.
    C8 ET2 SCI Q7
    Which mixture below cannot be separated using the above method?
    1. Maize and millet
    2. Wheat flour and husks 
    3. Rice and sand particles
    4. Sorghum and beans.
  8. The following are signs and symptoms of a certain water-borne disease;
    1. Blood in urine 
    2. Fever 
    3. Diarrhoea or constipation
      Which one of the following is the best method of preventing the above disease?
      1. Wearing protective clothing when handling stagnant water. 
      2. Maintaining high standards of hygiene
      3. Vaccination against the disease during outbreak.
      4. Drinking boiled or treated water.
  9. Which method of food preservation below makes the bacteria inactive?
    1. Canning 
    2. Freezing
    3. Salting
    4. Drying
  10. All the following are importance of water in a diet except
    1. helps in food absorption
    2. helps in removal of waste products 
    3. water forms part of blood 
    4. prevents constipation.
  11. Which one of the following is not a major protective food?
    1. Milk 
    2. Pumpkin
    3. Mutton
    4. Kales
  12. On a very cold day, a boy covered himself with a blanket. The main function of the blanket was to
    1. provide him with warmth 
    2. produce enough heat 
    3. allow his body to generate heat
    4. reduce heat loss from his body.
  13. In between a burning jiko and a boy standing close to the jiko there is air. Heat from the jiko mainly reaches the boy through
    1. radiation only
    2. convection only
    3. conduction only
    4. convection and radiation.
  14. Which one of the following is not a reason for lighting a room?
    1. To improve safety 
    2. To provide warmth 
    3. To see clearly 
    4. To discourage pests.
  15. In which of the following activities is water least conserved?
    1. Discharging treated sewage into water ways. 
    2. Providing shade to growing seedlings
    3. Channeling rain water into a dam 
    4. Cultivating close to river banks
  16. Which set up below is used to investigate refraction of light?
    C8 ET2 SCI Q16
  17. A class four pupil placed a ball bearing and a metallic bowl on water. After the observation, the pupil concluded that
    1. size does not affect floating and sinking 
    2. type of the material affects floating and sinking 
    3. shape of an object affects floating and sinking
    4. weight does not affect floating and sinking.
  18. The following are the steps to following when investigating if part of air supports burning
    1. Pour water into the basin 
    2. Cover the burning candle with a glass jar
    3. Fix the burning candle at the bottom of the basin using wax
      Which one of the following shows the correct procedure?
      1. ii, ii, i 
      2. ii, iii, i 
      3. i, ii, iii 
      4. iii, i, ii
  19. In which of the following is friction force least required?
    1. Running
    2. Flying a kite 
    3. Cycling
    4. Digging
  20. Which one of the following is not a common characteristic between the vertebrates drawn.
     C8 ET2 SCI Q20
    1. They breathe through lungs 
    2. They have constant body temperature
    3. They have internal fertilisation 
    4. They lay eggs.
  21. Ticks and tapeworms in livestock can both be controlled by
    1. deworming 
    2. dipping 
    3. practising rotational grazing
    4. spraying the livestock with acaricides.
  22. Which one of the following farm animals can produce both beef and milk?
    1. Dairy cows
    2. Goats
    3. Sheep
    4. Poultry
  23. The best method a person infected with tuberculosis can prevent the spread of the disease is by
    1. immunisation against the disease 
    2. isolation and immediate treatment
    3. living in a well ventilated room 
    4. drinking properly boiled milk.
  24. Which one of the following is not a myth and misconception about HIV/AIDS?
    1. People living with HIV/AIDS are always thin.
    2. All people with HIV have AIDS 
    3. HIV is caused by sexual intercourse
    4. HIV/AIDS weakens the body's immunity.
  25. Which group of crops below are correctly classified?
    1. Oil crops - sunflower, coconut and cotton
    2. Cereals - maize, sorghum and peas
    3. Fibre crops - sisal, barley and cotton 
    4. Tubers - onions, cassava and potatoes
  26. Which one of the following is not a physical change in adolescent girls?
    1. Rapid body growth 
    2. Hair grows on chest 
    3. Pimples may appear on the face
    4. Hips broaden.
  27. The diagram below shows the parts of the urinary system.
    C8 ET2 SCI Q27
    Which letter represents the part that produces urine?
    1. W
    2. Z
    3. X
    4. Y
  28. Which blood vessel transports blood from,the lungs to the heart?
    1. Pulmonary vein
    2. Aorta 
    3. Pulmonary artery
    4. Venacava.
  29. Which type of teeth is one not likely to use when eating sugarcane?
    1. Incisors 
    2. Molars 
    3. Premolars 
    4. Canines
  30. Which type of manure is prepared from all forms of organic waste?
    1. Farmyard manure 
    2. Green manure 
    3. Compost manure 
    4. Artificial manure
  31. The diagram below shows a way of grazing animals.
    C8 ET2 SCI Q31
    Which statement is false about the above method of grazing?
    1. It can best be used with few livestock 
    2. The livestock can only feed on pasture
    3. It helps in controlling livestock parasites 
    4. It is a type of rotational grazing.
  32. In which part of the digestive system is water absorbed?
    1. Mouth 
    2. Stomach
    3. Large intestine
    4. Small intestine
  33. Which one of the following substances does not have indefinite shape?
    1. Ice
    2. Water 
    3. Oxygen
    4. Smoke
  34. Which of the following instruments is used to compare the quantity of matter in objects?
    1. Spring balance
    2. Beam balance
    3. Kilograms 
    4. Newtons
  35. The gravitational pull in an object is equivalent to its
    1. mass
    2. inertia 
    3. friction 
    4. weight
  36. Two liquids were mixed in a container as shown below.
    C8 ET2 SCI Q36
    Liquid E and F are most likely to be _______ and _______ respectively.
    1. water, kerosene 
    2. milk, methylated spirit 
    3. methylated spirit, petrol 
    4. petrol, milk
  37. What is the percentage of the gas that is used by some green plants to make protein?
    1. 0.03%
    2. 0.97% 
    3. 21%
    4. 78%
  38. Which one of the following is not a major component of the environment?
    1. Water 
    2. Animals
    3. Light
    4. Soil
  39. The following are all signs and symptoms of marasmus except
    1. wrinkled skin 
    2. severe loss of weight 
    3. sores at the corner of the mouth 
    4. almost all the muscles disappear.
  40. All the following materials are required when modelling the solar system except
    1. bottle tops 
    2. manila paper 
    3. thorns 
    4. plasticine. .
  41. The arrow of a windvane was seen pointing towards the direction of the sunset. From which direction was the wind blowing?
    1. East
    2. North 
    3. West 
    4. South
  42. Which type of soil is correctly matched to its characteristics in the table below?
       Clay   Sand 
     A.
     B.
     C. 
     D.
     Largest particles 
     Spreads easily when dry
     Has poorest capillarity 
     Cracks when dry
     Makes shortest ribbons  
     Sticks when wet
     Retains a lot of water
     Has best drainage
  43. All the following animals live in soil except
    1. ants
    2. moth
    3. millipede
    4. slug.
  44. Which one of the following is not a storage pest?
    1. Mite
    2. Weaver bird
    3. Mole
    4. Weevil
  45. The diagram below shows the development of the foetus in the womb.
    C8 ET2 SCI Q45
    Which letter represents the part that is correctly matched to its function?
    1. T-allows for free movement of the foetus 
    2. Q - protects the foetus from injuries
    3. R - prevents direct contact of blood 
    4. S-facilitates transfer of food nutrients,
  46. Which one of the following sources of electricity is odd?
    1. Bicycle dynamo 
    2. Wind - driven turbines 
    3. Solar panels 
    4. Petrol - driven generators.
  47. Which lever below has effort between ioad and fulcrum?
    1. Wheelbarrow
    2. Claw hammer 
    3. Crowbar 
    4. Spade
  48. Which one of the following is not a use of water in the farm?
    1. Watering plants
    2. Cooling parts of machines
    3. Washing farm tools 
    4. Keeping some farm animals.
  49. Which material below is a poor conductor of electricity?
    1. Rubber band 
    2. Pin
    3. Razor blade 
    4. Staples
  50. Which one of the following is not a commercial feed?
    1. Maize germ 
    2. Pollard
    3. Molasses
    4. Desmodium.

MARKING SCHEME

  1. A
  2. A  
  3. D
  4. D
  5. B
  6. A
  7. C
  8. B
  9. B
  10. D
  11. C
  12. D
  13. A
  14. B
  15. A
  16. C
  17. C
  18. A
  19. B
  20. D
  21. C
  22. A
  23. B
  24. D
  25. A
  26. B
  27. A
  28. A
  29. A
  30. C
  31. B
  32. C
  33. A
  34. B
  35. D
  36. D
  37. D
  38. C
  39. C
  40. A
  41. C
  42. D
  43. B
  44. B
  45. A
  46. A
  47. D
  48. B
  49. A
  50. D

KISWAHILI
DARASA LA 8
MWISHO WA MUHULA WA 2

Soma vifungu vifuatavyo. Vina nafasi 1 mpaka 15. Kwa kila nafasi umepewa majibu manne hapo. Jaza kila pengo kwa kuchagua jawabu lifaalo zaidi.

Nchi     1       Kenya hujivunia umoja na      2       wa hali ya juu.     3      kuna makabila mengi, lugha ya Kiswahili    4        na wakenya wa makabila mbalimbali ili     5         Vilevile wimbo wa taifa, michezo na bendera ya taifa husaidia    6       magugu ya ukabila na chuki. Kila binadamu, bila      7       kabila wala lugha yake, ana umuhimu mkubwa. Tunapoishi       8       amani na umoja, bila shaka uchumi wetu utaimarika Ni vyema kukumbuka kuwa    9     

  1. A.la                         B.ya                         C.mwa                      D. kwa
  2. A. mgawanyiko       B. utengano             C. utangamano        D. vurugu
  3. A. Ingawa               B. Licha ya               C. Lakini                   D. Hata hivyo
  4. A. hutangazwa        B.husomwa             C. huandikwa            D. hutumiwa
  5. A. kuwastawisha na kuwalenga
    B. kuwadunisha na kuwajenga
    C. kuwaunganisha na kuwatambulisha
    D. kuwahamasisha na kuwalinganisha
  6. A. kupanda              B. kupalilia                C. kung'oa             D. kunyunyizia
  7. A. kujua                   B. kujali                     C. kuthamini          D. kutambua
  8. A. katikati                 B. kwa                      C. ndani ya            D. kwenye
  9. A. umoja ni nguvu utengoni ni udhaifu
    B. chururu si ndondondo
    C. akiba halozi
    D. haba na haba hujaza kibaba

Kijana   10    aliketi pale   11   baada ya hakimu kuamua kwamba afungwe kwa miaka kumi. Alifungwa kwa sababu ya utapeli   12    aliufanya akitumia simu. Pesa hizo za wizi zilimtajirisha hadi   13    katika jumba la kifahari.   14   siku yake ya arubaini ilikaribia, nayo ilipofika alikula    15    kwelikweli.

  1. A. yeyote           B. ambaye            C. mwenye            D. mwenyewe
  2. A. gerezani        B. rumande           C. kizimbani          D. chupani
  3. A. ambao           B. ambayo            C. ambalo              D. ambaye
  4. A. akahama       B. akaguria            C. akahamishwa   D. akagurisha
  5. A. Kumbe           B. Pengine            C. Kwa sababu     D. Labda
  6. A. njama            B. nyama ya ulimi  C gumzo               D. kalenda

Kuanzia nambari 16 mpaka 30. jibu kila  swali kulingana na maagizo uliyopewa.

  1. Chagua orodha yenye vielezi vya idadi pekee.
    1. mmoja, wengi, wachache
    2. polepole, vizuri, haraka.
    3. mapema, asubuhi, jana,
    4. sana, tena, aghalabu.
  2. Maneno yafuatayo yatakuwaje katika kamusi kuanzia la kwanza hadi la mwisho?
      1. Bahati
      2. Babaika 
      3. Bahari
      4. Baidika
    1. (iii), (i), (iv). (ii)
    2. (i), (iv) (iii) (i)
    3. (ii).(iii) .(i) (iv)
    4. (ii), (iii), (iv), (i)
  3. Ni orodha ipi yenye nomino za ngeli ya YA-YA pekee?
    1. maji, mate, mapishi.
    2. mazingira, mapishi, malezi.
    3. magonjwa, maumbo, maisha.
    4. manukato, mafuta, maradhi.
  4. Sentensi gani iliyo sahihi kati ya hizi?
    1. Mbuzi wowote watachinjwa kesho.
    2. Kitabu chenyewe kiliandikiwa ni chake.
    3. Nguo ile ingine itafuliwa
    4. Gari jeupe ni ya mwalimu. 
  5. Chagua sentensi iliyotumia ki kuonyesha wakati endelezi.
    1. Ukienda nyumbani uniambie.
    2. Mbuzi alikuwa akilala fisi alipompata
    3. Watoto walimwona alipotembea kijeshi
    4. kijibwa chake kimepotea.
  6. 'Mawazo, hasira, furaha' ni mifano ya nomino za aina gani?
    1. Nomino za pekee
    2. Nomino za dhahania .
    3. Nomino za kawaida
    4. Nomino za wingi. 
  7. Tambua sentensi ambayo inaonyesha istiara kati ya hizi.
    1. Wageni wote waliowasili ni malaika
    2. Mji ule ulimpokea kwa mikono miwi
    3. Wazazi wamekaa nyumbani wakisubiri watoto wao wachanga wawanunulie chakula
    4. Watu walijaa uwanjani hadi nafasi ya nzi kutua ikakosekana.
  8. Chagua ukanusho wa sentensi: Kitabu kilichopotea kimepatikana.
    1. Kitabu kilichopotea hakikupatikana.
    2. Kitabu kisichopotea hakijapatikana
    3. Kitabu kisichopotea hakikupatikana
    4. Kitabu kilichopotea hakijapatikana. 
  9. Neno gani lililo na silabi nne kati ya haya?
    1. Potelea
    2. Lala
    3. Mbuzi
    4. Mbaya
  10. Chagua sentensi inayomaanisha kuwa Musa hakuchelewa kazini kwa kuwa aliamka mapema
    1. Musa asingechelewa kazini angeamka mapema
    2. Musa asingeamka mapema angechelewa kazini
    3. Musa angeamka mapema angechelewa kazini.
    4. Musa angechelewa kazini angeamka mapema
  11. Maelezo gani ambayo si sahihi kuhusu neno shinda?
    1. Kuwa na ugumu wa kutendeka.
    2. Ni kuwa wa kwanza katika mashindano.
    3. Ni kukaa mahali mchana wote.
    4. Ni dhiki au matatizo
  12. Sentensi ipi iliyotumia kiunganishi kwa usahihi?
    1. Maadamu alimshauri vizuri hakufaulu.
    2. Ilhali mtoto ameanguka hajalia.
    3. Umeshindwa kununua baiskeli sembuse gari!
    4. Minghairi ya kununua gari alisafiri haraka
  13. Chagua orodha yenye aina za mashain pekee.
    1. Utenzi, mizani, kibwagizo
    2. Ngojera, tarbia, utenzi.
    3. Ukwapi, utao, mwandamizi.
    4. Mwanzo, mloto, mleo.
  14. Tambua sentensi iliyotumia kivumishi cha idadi ya nafasi katika orodha
    1. Mwanafunzi wa pili anajua kuogelea.
    2. Madawati mengi yamepakwa rangi
    3. Mama amenunua marinda mawili.
    4. Mipira michache imenunuliwa. 
  15. Wakati wa macheo, jua huwa upande gani wa dira?
    1. Mashariki
    2. Magharibi
    3. Kaskazini
    4. Kusini

Soma taarifa ifuatayo kisha ujibu maswali kutoka 31 hadi 40.

Ni nani mwenye akili razini awezaye kupata hata lepe la usingizi usiku kama huo? Niligaagaa kitandani huku nimetawaliwa na kiwewe na wasiwasi uliopiku ule wa mwasi. Niliwaza na kuwazua jinsi siku iliyofuata ingekuwa keshoye, ilikuwa siku ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi wa gatuzi letu Uchaguzi huo mdogo ulifanyika baada ya aliyekuwa gavana wetu kufumwa na mvi wa manaya katika ajali ya barabarani. Bila shaka, hakuna aliyetarajia kwamba ningekuwa nambari ya pili, sembuse nambari ya kwanza? Ilikuwa wazi kama pengo kuwa ningeburura mgwisho. Tangu lini mja asiyekuwa na misuli ya kihela akaibuka mshindi katika kinyang'anyiro chochote cha uchaguzi? Licha ya kuwa mkata aliyekatwakatwa na ukata, nilitoka katika kabila lenye watu wachache mno.

Asubuhi ilipofika, nilichukua baiskeli yangu na kuiendesha polepole huku wafuasi wangu wakinishangilia nilipopita. Tuliwasili katika ukumbi wa kaunti ya Ingusi, ambapo matokeo ya uchaguzi huo yangetangaziwa. Ukumbi huo ulijaa sisisi ya watu wake kwa waume, wazee kwa vijana, waliosoma kwa wasiosoma. Mashangingi ya wapinzani wangu yalikuwa yameegeshwa pale nje. Maafisa wa polisi walizunguka hapa na pale ili kuhakikisha kuwa hakuna uhalifu uliotokea.

Afisa wa tume ya uchaguzi alipokichukua kinasasauti, kila mtu alitulia tuli kama maji mtungini. Kimya cha makaburini kilitanda kote, hata unywele ungedondoka chini ungesikika kama mlipuko wa bomu katika ukimya huo, afisa huyo alikoroma na kupasua ukimya uliokuwa umetawala. "Mshindi wa uchaguzi huu ni Amani Mlachake". Wote walionipinga waliduwaa kama mja aliyedungwa sindano ya ganzi. Wengine wote waliokuwa wakigombea kiti hicho walidhani kuwa walikuwa katika ndoto mbaya. Rafiki yangu Nyangweso na kundi lake la watumbuizaji walianza kupiga isukuti. Akina mama walisakata densi ya mabega yao. Vijana wenzangu waliniinua juu kwa furaha. Sherehe na shangwe hizo zilifanyika bila kujali mipaka ya ukabila.

Hewaa! Jua la mabadiliko lilikuwa limechomoza. Hiyo ilikuwa siku mpya. Tofauti na hapo awali, uchaguzi wa kiongozi ulikuwa umefanyika bila kuzingatia kuwa mkono mtupu haulambwi. Wale waliodhani kuwa wangechaguliwa madhali walikuwa wakiwarambisha wapigakura asali walinamisha vichwa vyao kwa tahayuri Walikuwa wamekula inwande. Aidha, waliokuwa wakijipiga kifua kuwa kiongozi alichaguliwa kwa kuegemea dhana ya ukubwa wa kabila lake waliinamisha vichwa na kujiendea zao.

Niliutuliza umati uliokuwa umepandwa na jazba. Hamrerehamrere na chereko zilipotulia, nilichukua kinasasauti ili niwashukuru raia walioniunga mkono. "Ninawapa shukrani za dhati kutoka sakafuni pa mtima wangu. Ninawakumbusha kwamba ahadi zote nilizowapa hazikuwa ahadi za Kiswahili. Vilevile, ninawapa shukrani kwa uzalendo wenu. Shughuli za uchaguzi zilifanyika bila fujo wala vurugu. Hata baada ya mshindi kutangazwa, sijaona visa vya uharibifu wa mali kama hapo awali. Nyinyi ni mashujaa na wazalendo kindakindaki."

  1. Kwa mujibu wa aya ya kwanza:
    1. msemaji alishindwa kulala kwa kuwa hakujua kama matokeo ya uchaguzi yangetangazwa
    2. msemaji hakutarajiwa kuwa nambari ya pili bali ya kwanza
    3. watu walitarajia kuwa msemaji angekuwa wa mwisho katika uchaguzi
    4. msemaji alikuwa tajiri aliyetoka katika kabila la watu wachache mno.
  2. Juhudi za msemaji kuwa kiongozi zilikumbwa na changamoto gani hasa?
    1. Umaskini na ukabila
    2. Ufisadi na utepetevu
    3. Utapeli na unyanyapaa
    4. Ukata na utapeli
  3. Nahau zifuatazo zina maana sawa na 'kufumwa na mvi wa manaya' ila 
    1. kukata kamba
    2. kuaga dunia
    3. kuacha mkono
    4. kuenda nguu 
  4. Maneno, hata unywele ungedondoka chini ungesikika kama mlipuko wa bomu ni mfano wa Tani yani ya lugha?
    1. tashbihi
    2. istiara
    3. chuku
    4. tanakali
  5. Matokeo ya uchaguzi yalipotangazwa
    1. kila mtu alifurahia matokeo
    2. kila mtu alienda nyumbani
    3. watu wengi walifurahi lakini wengine hawakuamini
    4. watu wote walimwinua msemaji kwa furaha.
  6. Maneno, hiyo ilikuwa siku mpya' yana maana kwamba ilikuwa siku ya
    1. uchaguzi
    2. mabadiliko
    3. sherehe
    4. matokeo
  7. Kulingana na aya ya nne, ni kweli kuwa
    1. jua lilipochomoza lilileta mabadiliko
    2. uchaguzi huo ulikuwa tofauti na wa siku za awali
    3. watu walishindwa kuulamba mkono mtupu
    4. ushindi wa msemaji ulifanya watu wajipige kifua
  8. Ufahamu huu unatufundisha kwamba:
    1. tusiogope kujaribu jambo hata kama hali ni ngumu
    2. tuheshimu watu wa makabila yetu kushinda wa makabila mengine
    3. tuchague viongozi ambao wana pesa pekee
    4. watu ambao hawana pesa hawawezi wakafaulu katika jambo lolote.
  9. Kwa nini msemaji anawashukuru wapigakura katika aya ya mwisho?
    1. Walimpigia kura vizuri.
    2. Waliungana kusherehekea ushindi wake
    3. Walipiga kura kwa amani bila fujo wala vurugu
    4. Walifanya kazi kwa bidii na umoja 
  10. Kulingana na mwandishi, alipanga kuzingatia methali gani katika aya ya mwisho?
    1. Jitihada haiondoi kudura.
    2. Dau la mnyonge haliendi joshi.
    3. Mkono mtupu haulambwi.
    4. Ahadi ni deni na dawa ya deni ni kulipa

Soma taarifa ifuatayo kisha ujibu maswali 41 mpaka 50.

Ukeketaji ni dhuluma ambayo huendelezwa na baadhi ya jamii humu nchini. Licha ya serikali kujifunga kibwebwe ili kukabiliana na jinamizi hili, bado linatishia kuendelea kuharibu mustakabali wa vijulanga wa kike humu nchini. Kuna viongozi wa kidini hapa nchini ambao huegemea mila na desturi za jadi katika jamii na ambao kisiri huunga mkono ukeketaji, hivyo basi kuhujumu vita dhidi ya ukeketaji. Pia hali ni tofauti kabisa ambapo shughuli hiyo ambayo zamani iliendeshwa kisiri vichakani hasa huko mashinani, leo hii imekuwa ni biashara ya faida na ambapo kuna wauguz ambao hulipwa ili kukeketa katika usiri wa vyumba vya kifahari na pia katika hospitali

Aidha, kuna wakuu wa kiusalama ambao wamethibitisha kuwa wauguzi wengine wamejiunga na wale ambao wamekataa katakata kutupilia mbali tohara ya wanawake katika jamii. Wengi wac wanachochewa na tamaa ya kujipa pato. Hii ni ithibati ya kutosha kuwa umaskini ni mojawapo ya vizingiti vikubwa katika vita dhidi ya ukeketaji. Hata hivyo, si umaskini tu bali pia unyama. Unyama huu unatokana na ukweli kwamba ukeketaji huu una madhara si haba kwa yule anayekeketwa. Kwa hivyo, mtu anayethamini hela anazopewa kushinda maslahi ya mwenzake ni mwovu anayefaa kutiwa mbaroni na kuozea katika jel

Uchunguzi wa hivi karibuni umedhihirisha kuwa idadi kubwa ya wale waliokumbatia ukeketaji huu ama hawajui madhara yake au wanajitia tu hamnazo. Kuna wale ambao kwa kupofushwa na kauli kuwa mwacha mila ni mtumwa, wanajitolea mhanga kiasi cha kuwakeketa hata wasichana ambao wangali tumboni. Ni faradhi kila mkenya afahamu kuwa njia za kitamaduni za ukeketaji zina madhara si haba. Uvujaji wa damu kiasi cha kusababisha kifo ni mojawapo tu ya athari hizo Isitoshe, ngariba alikuwa na mazoea ya kutumia kijembe kimoja kuwapasha wasichana kadhaa tohara. Hali hii ilitokea kuwa rutuba ya kukuza maangamizi.

Ukeketaji wowote ule, uwe wa kale au wa kisasa, humwathiri mhusika kisaikolojia. Dhuluma hii huweza kumfanya mhusika huyo asijichukie tu bali pia jamii nzima iliyochangia kumletea madhila. Baadhi ya wale waliopitia ukatili kama huu, wasiposaidiwa kupona majeraha ya moyoni, huweza kulipiza kisasi kwa wenzao au hata kuishi maisha yaliyosheheni uchungu na maumivu ya ndani kwa ndani.

Ni jukumu la kila mkenya kutathmini faida tunazopata kutokana na mila na desturi zetu. Mila na desturi zisizokuwa na umuhimu wowote zitupiliwe mbali. Ukeketaji una faida gani? Wale waliokeketwa wanawashindia nini wale ambao hawajakeketwa? Tukilipiga suala hili darubini tutang'amua kuwa ukeketaji hauleti faida yoyote. Ni msisitizo utokao kwa wanajamii wanaodai kuwa mwacha mila ni mtumwa. Je, hawajui kuwa mwacha mila potovu ni mtume?

  1. Aya ya kwanza inadokeza kuwa ukeketaji
    1. huendelezwa na jamii zote humu nchini
    2. unatishia kuimeza serikali humu nchini
    3. unaendelea ingawa serikali imekuwa ikijaribu kukabiliana nao
    4. unaunga mkono kisiri viongozi wa kidini.
  2. Makala yanaeleza kuwa ukeketaji siku hizi;
    1. hauna tofauti kubwa na wa hapo awali.
    2. hauendeshwi kabisa huko mashinani na vijijini
    3. ni biashara ambayo inaleta faida kote nchini
    4. hufanywa kisiri hospitalini na katika majumba ya kifahari.
  3. Ni nini hasa kinachowafanya wauguzi wajiunge na shughuli ya ukeketaji? 
    1. Uzalendo
    2. Umaskini
    3. Utamaduni 
    4. Ukale 
  4. Kwa mujibu wa aya ya pili, imebainika kwamba;
    1. tunafaa kuwathamini wenzetu kushinda hela tunazoahidiwa
    2. umaskini ndiyo sababu pekee inayoendeleza ukeketaji
    3. idadi ya wauguzi ambao wanaendeleza ukeketaji inazidi kupungua.
    4. waliopatikana wakiendeleza ukeketaji walitiwa mbaroni na kuozea jela.
  5. Maneno, 'wanajitia tu hamnazo' yana maana gani jinsi yalivyotumika katika kifungu?
    1. Wanajipeleka jela
    2. Wanajifanya kuwa hawajui.
    3. Wanajiletea shida
    4. Wanashirikiana na wakeketaji.
  6. Aya ya tatu inadokeza kuwa madhara ya ukeketaji ni;
    1. kifo na athari za kisaikolojia
    2. ugonjwa wa UKIMWI na athari za kisaikolojia
    3. kifo na kusambaza ugonjwa wa UKIMWI
    4. uvujaji wa damu na madhara ya kisaikolojia 
  7. maumivu ya ndani kwa ndani' ni yale ambayo:
    1. hayana athari zozote
    2. yanaonekana na kila mmoja
    3. hayawezi yakatulizwa
    4. yanamtesa mtu ingawa hayaonekani 
  8. Makala haya yanaeleza kuwa ukeketaji wa kale au wa kisasa;
    1. haumwathiri mhusika kisaikolojia
    2. hufanya mhusika asijichukie
    3. hufanya mhusika ajichukie na pia kuichukia jamii iliyohusika
    4. hulipiza kisasi kwa wenzao.
  9. Ili kukabiliana na ukeketaji, tunafaa
    1. kufunza athari za UKIMWI na kuwatia mbaroni
    2. kuimarisha uchumi na kufunza jamii madhara yake.
    3. kuonyesha jamii madhara na kuondoa umaskini
    4. kufunza jamii madhara ya umaskini na kuimarisha ukeketaji.
  10. Aya ya mwisho inabaini wazi kuwa,
    1. mila zinaweza zikawa na faida na nyingine zina madhara
    2. mila zina madhara pekee
    3. mila hazina faida yoyote
    4. tufuate mila zote za kiafrika

MARKING SCHEME

  1. B
  2. C
  3. A
  4. D
  5. C
  6. C
  7. B
  8. B
  9. A
  10. D
  11. A
  12. A
  13. B
  14. A
  15. D
  16. D
  17. C
  18. D
  19. A
  20. B
  21. B
  22. A
  23. D
  24. A
  25. B
  26. D
  27. C
  28. B
  29. A
  30. A
  31. A
  32. A
  33. D
  34. C
  35. C
  36. B
  37. B
  38. A
  39. C
  40. D
  41. C
  42. D
  43. B
  44. A
  45. B
  46. C
  47. D
  48. C
  49. B
  50. A

 

Soma vifungu vifuatavyo. Vina nafasi 1 mpaka 15. Kwa kila nafasi, umepewa majibu manne. Chagua jibu lifaalo zaidi kati ya yale uliyopewa.

Ili kuwa na jamii ___1___kila mmoja wetu anahitajika___2___, ___3___mstari wa mbele katika kuzungumza tu___4___ pia katika matendo yetu. Inaeleweka na kila mtu kuwa___5___ya mja hunena muungwana ni vitendo. Ni___6___letu kuhakikisha kuwa jamii yetu___7___. Hili linawezekana tu iwapo tutakuwa___8___katika kila tulitendalo. Kwa mfano, hatuwezi tukatarajia kuwa na jamii yenye bidii iwapo sisi ndisi___9___ Hilo haliwezekani.

  1.  
    1. thabiti
    2. dhabiti
    3. mathubuti
    4. dhaifu
  2.  
    1. kutolewa
    2. kujitoa
    3. kujitia
    4. kujitolea
  3.  
    1. Usiwe
    2. Tuwe
    3. Mwe
    4. Tusiwe
  4.  
    1. ingawa
    2. bali
    3. lakini
    4. mbali
  5.  
    1. afua
    2. desturi
    3. ada
    4. kawaida
  6.  
    1.  toleo
    2.  wajib
    3.  dhima
    4. jukumu
  7.  
    1.  imeidilika
    2. imeadilika
    3.  imebaidilika
    4. imebainika
  8.  
    1. vielelezo
    2. tegemeo
    3. vielezo
    4. vigezo
  9.  
    1. tunaolaza damu
    2.  tunaokufa kikondoo
    3. tunaopiga moyo konde
    4. tunaojitolea mhanga

Baada ya___10___ na darasa la nane, niliamua kudurusu zaidi ili nifaulu. Sikutaka kuvuta mkia ___11___, ___12___kuhusu aina___13___maneno kama vile nomino, vitenzi na vielezi ambavyo pia huitwa ___14___ . Kuna vielezi vingi___15___ polepole, upesi, nyumbani na sokoni.

  1.  
    1. kuungana
    2. kuunganishwa
    3. kujiunga
    4. kuunga
  2.  
    1. tena
    2. asilani
    3. yamkini
    4. angalau
  3.  
    1. Nimesoma
    2. Ninasoma
    3. Nilisoma
    4. Ningesoma
  4.  
    1. ya
    2. wa
    3. na
    4. za
  5.  
    1. viigizi 
    2. viarifa
    3. visifa
    4. viingizi
  6.  
    1. :
    2. ;
    3. -
    4. ,

Kutoka swali la 16 - 30, chagua jibu sahihi kulingana na maagizo.

  1. Chagua ukanusho wa: Mgeni aliyewasili ana kofia.
    1. Mgeni asiyewasili ana kofia.
    2. Mgeni asiyewasili hana kofia. 
    3. Mgeni aliyewasili huna kofia. 
    4. Mgeni aliyewasili hana kofia.
  2. Tambua sentensi iliyo na kivumishi cha idadi katika orodha.
    1. Barabara zote zimejaa magari.
    2. Miti mingi imepandwa na wanafunzi.
    3. Mwalimu amesahihisha insha mbili.
    4. Kitabu hiki ni cha mwanafunzi wa pili.
  3. Tambua matumizi ya 'ki' katika sentensi.
    Mpishi yule alipika akiimba.
    1. Kuonyesha vitenzi sambamba.
    2. Kuonyesha hali endelezi.
    3. Kuonyesha kufuatana kwa vitendo. 
    4. Kuonyesha hali ya masharti.
  4. Sentensi ipi iliyo katika hali ya mazoea kati ya hizi?
    1. Wewe hukufika mapema tulivyoelewana.
    2. Mtoto atikaye shuleni mapema ndiye huyu.
    3. Alitembea huku ameangalia.
    4. Hungesoma kwa bidii hungefaulu.
  5. maji, chai, uji' ni mfano ya nomino za aina gani?
    1. Nomino za hali
    2. Nomino za wingi 
    3. Nominoambata
    4. nomino za jamii.
  6. Tambua nomino ambayo haijalinganishwa kwa usahihi na ngeli.
    1. moyo - U - ZI, U-I 
    2. kipepeo - KI-VI, A - WA
    3. ua - LI-YA, U - ZI
    4. moto - U-T; U-U
  7. Chagua maelezo ambayo ni sahihi.
    1. Kitengele ni kiungo cha mkono kati ya kiwiko na bega. 
    2. Kwapa ni kiungo cha mwili kilicho juu ya bega. 
    3. Nyongo ni kiungo cha mwili kinachopatikana juu ya kiuno.
    4. Goko ni mfupa wa mbele unaotoka kwenye kifundo cha mguu mpaka kwenye goti.
  8. Orodha ipi ambayo ni ya vihusishi pekee?
    1. langu, vyao, zake
    2. kabla ya, juu ya, baada ya
    3. licha ya, fauka ya, minghairi ya 
    4. ala, ebo, afanalek
  9. .'a, e, i, o, u' ni mifano ya
    1. konsonanti
    2. silabi funge 
    3. vokali
    4. sautighuna.
  10. Teua umoja wa: Vita huharibu maendeleo ya mataifa.
    1. Vita huharibu maendeleo ya taifa 
    2. Kita huharibu maendeleo ya taifa 
    3. Vita huharibu endeleo la taifa 
    4. Kita huharibu maendeleo la taifa.
  11. Jibu lipi ambalo halijalinganishwa kwa usahihi? 
    1. fuma - fumua 
    2. chimba - chimbua
    3. pakia - pakua
    4. funga - fungua
  12. Maamkizi gani yatumikayo wakati uliotofauti na mengine?
    1. Sabalheri
    2. Chewa
    3. Umeamkaje 
    4. Umeshindaje
  13. Tambua sentensi iliyotumia kiunganishi kwa usahihi.
    1. Nipe aghalabu shilingi hamsini ninunulie kitabu.
    2. Umeshindwa kuandika aya moja sembuse insha nzima. 
    3. Mathalani umewasili, tutaanza safari.
    4. Bighairi ya kumnunulia nguo, pia alimnunulia kalamu.
  14. Jibu lipi lenye kitenzi kilichoundwa kutokana na sifa? 
    1. cheka - mcheshi 
    2. mwalimu - funza
    3. vumilivu - vumilia
    4. mjuzi - ujuzi.
  15. Mtoto ni kwa binadamu kama vile __________ ni kwa ndege.
    1. kinda 
    2. kifaranga 
    3. kiota 
    4. kizimba

Soma taarifa ifuatayo kisha ujibu maswali 31-40.

Siku moja, mume na mke wakiwa wamekaa pamoja, mume alimwambia mke wake, "Mke wangu nimewakumbuka sana ndugu zangu (kaka zangu, dada zangu na hata baba na mama) tujumuike pamoja na kula pamoja. Kesho nitawaalika ili tufurahie nao katika chakula cha mchana, itabidi uandae chakula kwa ajili yao."

Mke alijibu kwa unyonge, “Sawa, Mungu akipenda."

Asubuhi ya siku iliyofuata, mume alitoka kwenda katika shughuli yake lakini baada ya saa kadhaa alirejea nyumbani. Alimsaili mke wake, “Mke wangu, umeandaa chakula cha mchna kwa ajili ya wageni? Baada ya saa moja watakuwa wameshafika." Mke alijibu, "La. Sijapika madhali ndugu zako sio wageni hapa. Watakula chochote wakipatacho." Mumewe alimwambia kuwa Mungu amsamehe. Alitaka kujua kwa nini mkewe aliyasema hayo ilhali alikuwa amemweleza kuhusu wageni tangu siku iliyotangulia. Aliuliza kwa nini mke wake hakumwambia kuwa asingepika ilihali wazazi wake wangewasili baada ya muda mfupi.

Basi mume ilimbidi aondoke pale nyumbani ili aibu isimfunike na kumzamisha. Baada ya dakika kadhaa, mlano ulibishwa. Mke alienda kuufubgua mlango. Alipigwa na butwaa alipokuta kuwa wageni waliokuja ni wazazi wake: baba yale, mama yake, dada zake pamoja na kaka zake. Alishtuka nusura azimie. Hata hivyo, aliwakaribisha ndani.

Baba yake alimwuliza alikokuwa mume wake. Mke alimjibu kwamba alikuwa ametoka dakika chache zilizopita. Baba alimwambia "Mumeo jana alitupa taarifa kuwa leo anatualika hapa tuje kula pamoja chakula cha mchana. Sasa vipi yeye ameondoka? Tendo hili si la busara." Mwanamke yule alishangaa kwa taarifa hiyo. Alianza kufikicha mikono yake huku akipigapiga mguu chini kwa kuchanganyikiwa. Ilimbidi aingie ndani na kumpigia mume wake simu. Alimwambia, "Kwa nini hukuniambia kuwa wazazi wangu ndio wanaokuja?"

Mume alimjibu, "Wazazi wangu na wazazi wako wote ni kitu kimoja, hawana tofauti."

Mke alimwambia mumewe, “Leta chakula huku. Chakula kilichokuwepo ni kichache. Hakitawatosheleza."

Mume alimjibu, "Mimi nipo mbali na hao si wageni. Watakula chochote kilichopo namna wewe ulivyokuwa ukitaka kuwalisha wazazi wangu." Mke alibabaika sana. Mikono yake ilitetemeka huku akimwomba mumewe msamaha. Aliwaelezea wazazi wake yote yaliyojiri. Nao waliamuru kuwa wazazi wa mume watafutiwe siku ya kuwatembelea wana wao ili waandaliwe mlo.

  1. Kulingana na aya ya kwanza, mume
    1. alikumbushwa kuhusu ndugu zake na mkewe. 
    2. alijua kuwa mke angekataa kuwahudumia wageni. 
    3. alinuia kuwatendea wema wakwe wake. 
    4. alimwekea mkewe mtego ili amnase.
  2. Maneno yaliyosemwa na mke, “Sawa,Mungu akipenda", yanaonyesha
    1. udhaifu wa mke
    2. kutojali kwa mke 
    3. jinsi mke alivyomtegemea Mungu 
    4. uaminifu wa mke.
  3. Makala haya yamendhihirisha mke kuwa
    1. mwenye tamaa, katili 
    2. mkakamavu, goigoi 
    3. mwenda nguu, mchoyo 
    4. mbinafsi, kaidi
  4. Methali gani isiyoweza kumrejelea mke katika makala haya?
    1. Ndugu ni kufaana si kufanana.
    2. Mkuki mtamu kwa nguruwe kwa binadamu uchungu:
    3. Mchimba kisima huingia mwenyewe.
    4. Kila mwamba ngoma, ngozi huivuta kwake.
  5. Maneno 'itabidi uandae chakula' yanatoa maana zifuatazo isipokuwa
    1. una hiari ya kuandaa chakula 
    2. ni lazima uandae chakula 
    3. huna budi kuandaa chakula 
    4. ni faradhi uandae chakula.
  6. .... aibu isimfunike na kumzamisha' yametumia fani gani ya lugha?
    1. Chuku
    2. Istiara 
    3. Tashhisi 
    4. Kinaya
  7. Hali ya mke kupata kwamba wageni waliokuja walikuwa ni wazazi wake badala ya wazazi wa mume inaweza ikaelezewa kwa nahau ipi? Mke
    1. alikula mwande
    2. alikula mwata 
    3. alikula muku 
    4. alikula mori
  8. Makala haya yameonyesha kuwa mume
    1. aliwahusudu wazazi wa mkewe
    2. aliwastahi wazazi wa mkewe
    3. aliwahadaa wazazi wa mkewe
    4. aliwadhalilisha wazazi wa mkewe.
  9. Neno 'alimsaili' lina maana gani jinsi lilivyotumika katika kifungu?
    1. Alishangazwa
    2. Alimwuliza 
    3. Alimtuliza 
    4. Alimwagiza
  10. Kwa mujibu wa aya ya mwisho, si kweli kuwa
    1. huenda mume hakuwa mbali ila alikasirishwa na tabia ya mkewe. 
    2. mume alikuwa amegundua kuwa wazazi wa mkewe hawakuwa wageni pale nyumbani.
    3. mke alitetemeka kuonyesha kujutia yale aliyoyatenda. 
    4. mume alimwelewa mkewe na kumpa nafasi nyingine.

Soma taarifa ifuatayo kisha ujibu maswali 41 - 50.

Wakenya zaidi ya elfu kumi na tano walihusika katika ajali za barabarani mwaka jana. Kati yao elfu tatu na mia nne walifariki huku wengine zaidi ya elfu sita mia sita wakipata majeraha mabaya. Jambo la kuhuzunisha mno. Hata hivyo, imebainika kuwa huenda magari yaliua watu wengi zaidi mwaka jana kuliko idadi hiyo iliyotolewa na Mamlaka ya Usalama wa Barabarani. Utafiti umekuwa ukifanywa kila uchao. Wanasayansi sasa wanasema kuwa moshi unaotolewa na magari yanayotumia mafuta ya dizeli huenda unachangia katika ongezeko la vifo vinavyosababishwa na hora ya mapofu (nimonia).

Watafiti kutoka chuo kikuu kimoja walibaini kwamba hewa iliyochafuliwa na moshi wa mafuta ya dizeli inaweka watu katika hatari ya kupatwa na maradhi ambayo ni hatari ya nimonia. Aidha, utafiti huo unasema kuwa watu wanaopumua hewa iliyo na moshi wa mafuta ya dizeli wanakuwa na uwezekano mkubwa wa kupatwa na nimonia ambayo husababishwa na bakhteria wanaojulikana kama 'Streptococcus pneumonia.

Bakhteria hao ndio husababisha maradhi ya nimonia na homa ya uti wa mgongo. Magonjwa haya huchangia kwa kiasi kikubwa vifo vya watoto wachanga walio chini ya miaka mitano. Kadhalika, husababisha vifo vya maelfu ya watu wazima kote duniani. Takwimu zilizotolewa zinaonyesha kuwa tangu mwaka wa elfu mbili kumi na tano, maradhi ya nimonia yamekuwa yakiongoza kwa kusababisha idadi kubwa ya vifo humu nchini. Licha ya hayo, kulingana na ripoti kuhusu hali ya kiuchumi ya mwaka wa elfu mbili, kumi na nane iliyotolewa na Shirika la Takwimu Nchini, waliouawa na maradhi ya nimonia ni karibu mara nne kuliko waliofariki kutokana na ukimwi.

Ugonjwa wa nimonia uliua watu elfu ishirini na moja, mia mbili tisini na watano na elfu ishirini na mbili, mia nne sabini na watatu katika mwaka wa elfu mbili kumi na sita na elfu mbili kumi na tano mtawalio. Ni wazi kama mchana kuwa magonjwa mengine yaliyoangamiza idadi kubwa mwaka wa elfu mbili kumi na saba ni malaria ulioua watu elfu kumi na saba, mia tano hamsini na watu elfu kumi na sita, mia tisa hamsini na watatu.

Mnamo mwaka wa elfu mbili na kumi na nane, watu milioni moja na elfu mia nne walienda hospitalini kutibiwa nimonia na mwaka uliotangulia wa elfu mbili, kumi na saba, watu milioni moja na elfu kumi na saba. Watu milioni moja na elfu mia mbili waliitafuta matibabu ya nimonia katika hospitali kote nchini. Takwimu za wizara ya afya zinaoonyeha kuwa watoto elfu mia saba hutibiwa maradhi ya nimonia kila mwaka. Licha ya takwimu hizo zilizotelewa, jambo la kusikitisha ni kwamba karibu asilimia ishirini na tano hufariki kwa sababu huchelewa kupelekwa hospitalini wanapougua maradhi hayo.

Ripoti iliyotolewa na shirika moja lisilo la serikali mnamo mwaka wa elfu mbili kumi na saba, ilionyesha kuwa vipimo visivyotoa matokeo sahihi na uhaba wa dawa za kukabiliana na bakhteria ni miongoni mwa sabab zinazochangia katika ongezeko la vifo vinavyotokana na nimonia. Wanasayansi waliohojiwa walisema kuwa ugonjwa huo ukigunduliwa mapema unatibika kwa dawa inayouzwa kwa shilingi mia mbili. Isitoshe chanjo ya kukabiliana na maradhi ya nimonia ilianza kutumika humu nchini mnamo mwaka wa elfu mbili, kumi na moja kwa watoto wa kati ya umri wa wiki sita na kumi na nne.

Lakini takwimu zilionyesha kuwa zaidi ya watoto elfu mia nne na kumi na nane wa umri wa miczi kumi na miwili na ishirini na mitatu hawakupewa chanjo hiyo mnamo mwaka wa elfu mbilli kumi na saba. Vifo vilivyotokana na nimonia huenda vikaendelea kushuhudiwa humu nchini kwani takwimu zinaonyesha kuwa kiwango cha mafuta ya dizeli yanayotumiwa humu nchini kinaongezeka kila mwaka.

  1. Kulingana na aya ya kwanza, imebainika kuwa
    1. wakenya takriban elfu kumi na tano walihusika katika ajali za barabarani mwaka jana.
    2. wakenya zaidi ya elfu kumi na tano walihusika katika ajali mwaka jana. 
    3. wakenya zaidi ya elfu sita na mia sita walijeruhiwa katika ajali za barabarani mwaka jana.
    4. utafiti umekuwa ukifanyika kila uchao ili kutambua idadi ya walioumia katika ajali ya barabarani.
  2. Ni kweli kuwa moshi unaotolewa na magari yanatumia mafuta ya dizeli.
    1. umechangia katika ongezeko la ajali barabarani.
    2. umeongeza maambukizi ya nimonia.
    3. yanawezekana kuwa umechangia katika ongezeko la vifo visababishwaVyo na nimonia. 
    4. umechangiwa na kukithiri kwa vifo vya homa ya mapafu.
  3. Neno 'walifariki' halimaanishi kuwa
    1. waliaga dunia 
    2. walienda na ulele ngoma
    3. walifumwa na mvi wa manaya 
    4. walienda nguu.
  4. Kifungu kimedhihirisha kuwa vifo vya watoto
    1. wachanga kwa kiasi kikubwa husababishwa na homa ya mapafu na homa ya uti wa mgongo. 
    2. wachanga walio chini ya miaka mitano husababisha maambukizi ya nimonia.
    3. wachanga walio juu ya miaka mitano husababishwa na nimonia na homa ya uti wa mgongo.
    4. wachanga na watu wazima walio chini ya miaka mitano husababishwa na nimonia na homa ya uti wa mgongo.
  5. Maneno ni wazi kama mchana' yametumia fani gani ya lugha?
    1. Nahau 
    2. Chuku
    3. Tashbihi
    4. Tasfida
  6. Makala yameeleza kuwa watu waliouawa mwaka wa elfu mbili kumi na tano kutokana na nimonia ni 
    1. 21295 
    2. 22473 
    3. 17553 
    4. 16953
  7. . ... asilimia ishirini na tano hufariki kwa sababu huchelewa kupelekwa hospitalii...' kauli hii inaweza ikaelezwa kwa methali ipi? 
    1. Simba mwenda pole ndiye mla nyama. 
    2. Fisi akimla muwele mzima funga mlango. 
    3. Kifo cha wengi harusi.
    4. Akutanguliaye chanoni hukuzidi tonge.
  8. Kulingana na aya ya sita, ni kweli kuwa
    1. ongezeko la vifo vinavyotokana na nimonia husababishwa na ukosefu wa damu za kukabiliana na bakhteria. 
    2. ukosefu wa dawa na vipimo visivyotoa matokeo ni sababu zinazochangia ongezeko la vifo vya nimonia.
    3. upungufu wa dawa na vipimo visivyotoa matokeo sahihi na sababu zingine huchangia ongezeko la vifo vitokanavyo na nimonia.
    4. vifo vinavyotokana na nimonia huchangia uhaba wa dawa na vipimo duni.
  9. Ongezeko la matumizi ya mafuta ya dizeli
    1. litaongeza matumizi ya magari 
    2. linaweza likaongeza vifo vinavyotokana na nimonia 
    3. limesababishwa na maambukizi mengi ya ugonjwa wa nimonia.
    4. limechangia kutokea kwa ajali nyingi za barabarani.
  10. Ili kupunguza vifo vinavyotokana na maambukizi ya nimonia 
    1. tunafaa kubuni vifaa vinavyotoa matokeo sahihi.
    2. tunafaa kutafuta mikakati kabambe ya kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa nimonia. 
    3. tunafaa kutafuta dawa za kutosha ili kutibu ugonjwa wa nimonia.
    4. tunafaa kuimarisha usafiri ili wagonjwa wafikishwe hospitalini mapema.

MARKING SCHEME

  1. A
  2. D
  3. D
  4. B
  5. C
  6. D
  7. B
  8. A
  9. A
  10. C
  11. B
  12. C
  13. D
  14. D
  15. A
  16. D
  17. D
  18. A
  19. B
  20. B
  21. D
  22. D
  23. B
  24. C
  25. D
  26. B
  27. D
  28. B
  29. C
  30. A
  31. C
  32. B
  33. D
  34. A
  35. A
  36. A
  37. A
  38. B
  39. B
  40. B
  41. C
  42. C
  43. D
  44. A
  45. C
  46. B
  47. D
  48. C
  49. B
  50. B

ENGLISH
STD 8
END TERM 2 

Fill in the blank spaces numbered 1 to 15 with the best alternative from the choices given

Doubtlessly,   1     of us    2     ourselves patriots. And we have    3     to prove it; we cheer our Harambee Stars    4    when they are playing international      5    What's more, when our    6    are competing in foreign capitals, we    7    them   8      all the enthusiasm we     9     muster. Actually, some of us     10     been observed to heave and pant     11     rhythm with our fellow Kenyan competitors as we    12     them on television Wonderful and    13    t hough it is to identify with, and celebrate the    14     of our countrymen and women, we need to do    15   more to earn the label 'patriot'.

  1. A few              B. much                C. many          D. none
  2. A. consider     B. considers         C. think           D. thinks
  3. A details         B. information       C. news           D. evidence
  4. A. horse          B. hoarse             C. even           D. deaf 
  5. A world cup     B. matches          C. champions  D. leagues
  6. A. athletees     B. athletics          C. athletes       D. runners
  7. A. route for      B.root for             C. route at        D. root at
  8. A with              B. in                      C. and             D. by
  9. A. could           B. would              C. should         D. can
  10. A. were           B. had                  C. have            D. has
  11. A. by               B. off                    C. on                D.in
  12. A. look             B. watch              C. observe       D. stare
  13. A. noble          B. nobble             C. vain              D. absurd
  14. A exports        B exploits             C. exploit          D. exploitation
  15. A. many          B. alot                  C. a lot              D. most

For questions 16 to 18. choose the correct form of the verb to fill in the blanks.

  1. The terrorist was arrested and             the following day
    1. hang
    2. hunged
    3. hung
    4. hanged
  2. I was advised to stop in the hot sun due to my healthy.
    1. laying
    2. lie 
    3. lying
    4. lieing
    5. Several good songs were yesterday
    6. sung
    7. sang
    8. singing
    9. to sing

For questions 19 to 21. choose the most suitable preposition to fill the blanks.

  1. I was congratulated being the top student last year.
    1. on
    2. for
    3. by
    4. with
  2. All the players practised prior the final match
    1. for
    2. to
    3. with
    4. of
  3. The headmaster asked me to write to him           confidence
    1. with 
    2. for
    3. on
    4. in

For questions 22 and 23. choose the word closest in meaning to the one underlined.

  1. We hardly go on trips in this school.
    1. always
    2. never
    3. frequentl
    4. rarely 
  2. My friend proved to be very cunning
    1. shy
    2. stupid
    3. foolish
    4. bright

For questions 24 and 25. choose the correctly spelt words. 

  1.       
    1. Fullscap
    2. Recieve
    3. Definite
    4. Embarassment
  2.         
    1. Occured
    2. Occasion
    3. Fourty
    4. Until

Read the passage below and then and the questions 26 to 38.

Jacob started smoking and taking alcohol when he was in Form Three, after having been influenced by his peers. He was introduced to drugs by a "friend who lived in the same dormitory with him. At first he was reluctant, but later he started to feel it wasn't a bad idea af been a very bright student, but now his performance had deteriorated markedly. And because of this new lifestyle, he narrowly made it to one of our public universities.

By the time he joined the university, Jacob had become clinically a drug addict. The addiction was so severe that he would even steal money from his colleagues to buy drugs. In the meantime, he was barely making it in his studies. He would skip lectures and tutorials; and he even missed an examination. The university doctors reported that he was suffering from drug dependency, and he was subsequently discontinued.

After being sent away from the university, Jacob became a destitute. For a while he kept away from his family: he didn't know how to explain to them what had happened. And being cut off from family and relatives meant he didn't have anybody to help, nay, to feed him, on a regular basis. He, therefore, went on the streets and became a beggar. But being a beggar in the streets of Nairobi is a step away from being a pickpocket and a shoplifter, and that is exactly what he became.

The inevitable happened. The law caught up with him, and the poor fellow was locked up for two years.

Jacob was released from jail last year, and as I write this essay, he is trying to recover from his drug addiction. He sees a counsellor regularly, and tries to interact with his family, relatives and friends. At one time, his parents had given up on their son, but after counselling, they have taken the view that Jacob was sick and is now recovering. The fact that the sickness was selfinduced is neither here nor there.

During the period of his addiction, this young man was always withdrawn and uncommunicative. It was as if he lived in a world of his own. Occasionally, he would be violent and abusive. But now he is warmer and more personable. He talks more openly with members of his family, and he also tries to reach out to his friends.

In order to fully recover, Jacob must do three things.

First, he must completely come out of the stage of being in denial. He needs to face the unpleasant fact that he was addicted to drugs and drug addiction which is an emotional as well as a medical condition. Being in denial is tantamount to refusing to accept the reality. It is refusing to accept the truth, to swallow the bitter pill; and as they say, truth shall set us free.

  1.  According to the first paragraph, it is true to  say that Jacob.
    1. took to drugs in Form Three.
    2. was not yet a teenager when he started smoking and taking alcohol.
    3. had a friend who was already an addict 
    4. knew from the beginning that drugs were good.
  2. His performance in school
    1. remained above average
    2. was not affected in any way
    3. went down drastically
    4.  allowed him very good grades.
  3. In the final exam, Jacob
    1. narrowly made it
    2. narrowly misused the marks
    3. was exemplary
    4.  failed. 
  4. To sustain his drug addiction, Jacob
    1. was clinically a drug addict
    2. stole money from friends
    3. stole valuables from kith and Kin
    4. barely made it in his studies.
  5. Why was Jacob discontinued with his university education?
    1. He become a thief.
    2. He failed in his exams.
    3. He was diagnosed with drug dependency
    4. He skipped lectures
  6. The phrase "Jacob became a destitute' means that he
    1. was now an orphan
    2. was now an illegitimate child
    3. was now a destroyed character
    4. had no means to provide for himself.
  7. On the streets, Jacob did all the following except
    1. banditry
    2. pick pocketing
    3. shoplifting
    4. begging
  8. The phrase "the inevitable happened means tha
    1. the unavoidable came to pass
    2. the unknown caught up with him
    3. the worst came to pass
    4. the unexpected came to pass
  9. After his two year-jail term, Jacob
    1. continued with his drugs use
    2. was rejected by all
    3. got support from his family
    4. started a rehabilitation centre.
  10. All the following describe Jacob during his addiction except
    1. affable
    2. withdrawn
    3. rude
    4. violent.
  11. The word "personable' as used in the passage is a
    1. noun
    2. adjective
    3. adverb
    4. verb.
  12. Being in denial means that Jacob
    1. knows he is addicted to drugs
    2.   thinks he is not addicted to drugs
    3. has denied his family members
    4. is not sick at all. 
  13. Jacob's predicament can be summed up as
    1. a fool and his money are soon parted
    2. all work and no play makes Jack a dull boy
    3. every dog has its day
    4. a small leak will sink a great ship.

Read the passage below and answer questions 39 to 50.

Some people imagine that life would be much more interesting if they were allowed to do exactly what they wanted. But in my view, such thinking is mistaken because behaviour that is not controlled would lead to anarchy. Just imagine what would happen if every motorist drove on the right or the left or in the middle of the road, and ignored traffic lights or speed limits. In a city like Nairobi, one would probably be stuck in a jam for a month, covering a distance of a hundred metres on a good day. When everybody observes the rules, things run smoothly.

Obedience is not a sign of weakness or cowardice. Rather, it is the recognition of the fact that respecting lawful authority leads to social order and harmony. Obedience means doing what is expected. It is also the acknowledgement that the common good transcends individual interests. Of course we must carefully think about what others tell us to do. We must not blindly. follow every instruction. For example, if someone tells you to commit a crime, you have an obligation to defy such an order however senior the person is. What we should obey are rules or instructions that are reasonable; in other words, those that are meant to promote the common good.

Now, why do some people find it difficult to obey parents, teachers or other authorities? The main reason is that they are self-centred. Their primary motivation is to pursue only those things. that benefit them, those that advance their private interests. And because obedience involves doing what others tell them, and frequently having to sacrifice their own desires, their spirits rebel. However, if they would consider the benefits of obedience, they would want to nurture this virtue.

In our everyday existence, we unconsciously obey many rules. No one, for instance, forces us to eat a balanced diet or obey a doctor's instruction. Many of us also report to school or places of work when we are supposed to. If you own a car, no one forces you to take it for service. Why do we do these things almost automatically? Obviously, it is because any act of disobedience would have grave consequences. So, obedience leads to a harmonious, stress-free life

Young people often find it difficult to accept rules and regulations because they think they are unfair or old-fashioned. It is true that some requirements may be illogical, but it pays to consider the motive behind the requirement before dismissing it offhand. Moreover, people we regard as old-fashioned may have a lot of experience and insight. Many have defied their parents' instructions and suffered much heartache later. It should be encouraging to know that even when some parents and teachers appear harsh and uncompromising, they have the best of intentions

  1. According to the author, uncontrolled behaviour would lead to
    1. interesting life
    2. lawlessness
    3. ignorance
    4.  freedom.
  2. If there was anarchy on the roads in Nairob
    1. traffic snarl ups would be endless
    2. traffic would flow smoothly 
    3. people would only travel for a hundred kilometres
    4. many cars would break down.
  3. Which one of the following would not lead to clogged traffic in Nairobi?
    1. Driving on the wrong side.
    2. Disregarding speed limits.
    3. Covering a distance of a hundred metres,
    4. Ignoring traffic lights
  4. All the following define obedience except
    1. respecting lawful authority
    2. doing as expected of you
    3. as a sign of weakness or cowardice
    4. the common good overrides self interest 43. 'We must not blindly follow every instruction' means that
  5. all that glitters is not gold
    1. one should look before leaping
    2. birds of a feather flock together
    3. every dog has its day. 
    4. The writer, in paragraph two, advises us to
  6. obey all rules and instructions
    1. obey all rules but not all instructions
    2. disregard all fair rules
    3. obey rules and instructions that promote the common good.
    4. Why do some people disobey?
  7. They are egocentric. 
    1. They are tactful.
    2. They are kind
    3. They are sensitive 
    4. Obedience is a virtue.
  8. What is the opposite of virtue?
    1. Vice
    2. Fortitude 
    3. Prudence
    4. Rectitude 
  9. The phrase 'grave consequences' as used in the passage would mean
    1. deadly results
    2. serious results
    3. ultimate results
    4. obvious results
  10. Obedience leads to
    1. stressed free life
    2. a harmonious life with stress
    3. stress-free life and harmony
    4. automatic stress free life
  11. According to the last paragraph, it is true to say that
    1. when all leaders appear harsh, they have the best of intention
    2. some parents may appear uncompromising but they have very good intentions 
    3. young people disobey rules because they are old fashioned
    4. many of the requirements are illogical 
  12. Which one of the following would be the best title for the passage?
    1. Obedience as a sign of weakness
    2. The old fashioned.
    3. Anarchy in the streets.
    4. The sweet fruits of obedience.

MARKING SCHEME

  1. C
  2. A
  3. D
  4. B
  5. B
  6. C
  7. B
  8. A
  9. D
  10. C
  11. D
  12. B
  13. A
  14. B
  15. C
  16. D
  17. C
  18. A
  19. A
  20. B
  21. D
  22. D
  23. A
  24. C
  25. B
  26. A
  27. C
  28. A
  29. B
  30. C
  31. D
  32. A
  33. A
  34. C
  35. A
  36. B
  37. B
  38. C
  39. B
  40. A
  41. C
  42. C
  43. B
  44. D
  45. A
  46. A
  47. B
  48. C
  49. B
  50. D

MATHEMATICS
STD 8
END OF TERM 2

  1. Which one of the following is eleven million four hundred thousand six hundred and eleven in symbols?
    1. 11400161
    2. 11040611
    3. 11400611
    4. 11004611
  2. What is the place value of digit 5 in the number 645732?
    1. 5000
    2. Hundreds
    3. Ten thousands
    4. Thousands
  3. What is the Highest Common Factor of 48, 72 and 54?
    1. 6
    2. 12
    3. 32
    4. 864
  4. What is 5798923 rounded off to the nearest thousands?
    1. 5790000
    2. 5799000
    3. 5798000
    4. 579800
  5. What is the next number in the sequence below?
    1½, 2 1/6, 2 5/6, 3½, ____
    1. 4 1/6
    2. 4 1/
    3. 4 1/2
    4. 5 1/6
  6. What is the square root of 5 4/9?
    1. 1 7/9
    2. .2 1/3
    3. 2 2/3
    4. 7/9
  7. Which one of the following computations gives a fraction equivalent to  7/9?
    1.  5 x 2 
        6x3
    2.   7x3  
        3 x 9.
    3.   9-2   
      11 + 2
    4.   7X2  
      18 + 2
  8. In the figure below, BCDE is a quadrilateral. Line ABC is a straight line. Line AC is parallel to ED and line EB is parallel to DC. Angle AEB = 80° and EDC = 125°.
    Math q8
    Find the value of angle EAB.
    1. 55°
    2. 135°
    3. 45°
    4. 80°
  9. What is the least number that should be added to 3661 to make it divisible by 8?
    1. 5
    2. 2
    3. 3
  10. What is the value of:
    4.5+ 3.6 x 1.2 + 1.36
           0.5 
    1. 20.36
    2. 19.32
    3. 19.00
    4. 10.18
  11. The price of a suit was increase by Shs.400. If this was 20%, what was the price of the suit before the increase?
    1. Shs. 2400
    2. Shs. 2000
    3. Shs. 1800 
    4. Shs. 1600 12.
  12. 1.5 tonnes of sugar were packed in 750g packets. How many packets were obtained?
    1. 2
    2. 200
    3. 2000
    4. 20 
  13. What is the perimeter of the figure below given that OB is the diameter of the semi circle? (π=22/7)
    Math q13
    1. 120cm 
    2. 140cm
    3. 126cm
    4. 112cm
  14. The difference of two numbers is 850. The smallest number is 717. What is the other number?
    1. 1467
    2. 1667
    3. 1567
    4. 133
  15. Kamau is three times as old as his sister Ten years ago, their total age was 24 years How old will Kamau be in 3 years times?
    1. 36 years
    2. 11 years
    3. 14 years
    4. 33 years 
  16. What is the value of:
    ab2(c2 - 2a)
             c
    where a = b + 3, b = c - 2 and c = 4. 
    1. 55
    2. 30
    3. 15
    4. 70
  17. The figure below shows a triangle
    Math q17
    What kind of a triangle is it?
    1. Right angled triangle.
    2. Equilateral triangle
    3. Scalene triangle
    4. Isosceles triangle
  18. Alice bought 15 cartons of milk. A carton contains thirty six-500ml packets of milk. How many litres of milk did Alice buy altogether?
    1. 27000L
    2. 54000L
    3. 270L
    4. 450L
  19. What is the value of w in the equation.
    W+1 + 3 = 6?
       2
    1. 2
    2. 5
    3. 4
    4. 8
  20. Construct triangle ABC in which AB = 6.5cm, AC = 5cm and angle ACB = 60°. What is the length of line CB?
    1. 5.2cm
    2. 4.9cm
    3. 5.9cm
    4. 6.9cm
  21. The area of the trapezium below is 648cm2.Line AB is 24cm and the perpendicular height is 18cm.
    Math q21
    Find the length of line DC
    1. 72cm
    2. 96cm
    3. 24cm
    4. 48cm
  22. Adagi bought a watch for Shs. 342 after he was allowed a discount. If the marked price was Shs. 360, what was the percentage discount?
    1. 5%
    2. 18%
    3. 22%
    4. 6 1/9%
  23. The temperature of ice was 14° below the melting point. It was heated to a temperature of 68°C. What was the rise in temperature?
    1. 54°C
    2. 72°C
    3. 68°C
    4. 82°C
  24. The length of a rectangle is 36cm. Itsdiagonal is 45cm. Calculate its perimeter?
    1. 126cm
    2. 162cm
    3. 81cm
    4. 61cm
  25. Three traffic signals are set to flash at intervals of 24 min, 30 min and 36 min. It they flashed together at 9:10a.m, at what time had they flashed together before?
    1. 3:10pm
    2. 9:16am
    3. 10:40pm
    4. 3:10am
  26. What is the area of the shaded part in the figure below?
    Math q26
    1. 20cm2  
    2. 72cm2
    3. 30cm2 
    4. 36cm2
  27. Kemunto bought the following items from a shop:
    2kg of rice at Shs. 75.
    3 packets of flour at Shs. 120.
    1/2 kg of sugar at Shs. 50.
    2 packets of coffee for Shs. 150.
    She paid for the items with two-sh.500 notes. What balance did she get?
    1. Shs. 785
    2. Shs. 65
    3. Shs. 215
    4. Shs. 225
  28. The ratio of men to women in a meeting was 4:5. There are 70 more women than men in the meeting. How many women were there?
    1. 350
    2. 630
    3. 280
    4. 400
  29. What is the perimeter of the figure below. The diameter of the semi-circle is 10cm (Take = 3.14)
    Math q29
    1. 32.55cm
    2. 30.55cm
    3. 23.44cm
    4. 29.55cm
  30. A book seller sold Distinction Mathematics text book for Shs. 720 making a 10% loss. How much would he have sold the book to make 20% profit?
    1. Shs. 880
    2. Shs. 800
    3. Shs. 960
    4. Shs. 864 
  31. A circular pond has an area of 2464m2. It was fenced round using five strands of wire. What is the length of the wire used? 1=22%,
    1. 789m
    2. 280m
    3. 176m
    4. 880m
  32. A motorist travelled at a speed of 60km/h for 2hrs. He then increased the speed by 10km/h for other 2 hours. What was the average speed for the whole journey?
    1. 65km/h
    2. 64km/h
    3. 70km/h
    4. 68km/h 
  33. What is the sum of the mean and the mode of the following numbers?
    4, 5, 6, 7, 5, 9, 5, 8,5
    1. 6
    2. .5
    3. 10
    4. 11
  34. Simplify:
    1/2(2x - 14 - 6) + 1/4(8x + 36y + 12)
    1. 3x + 2y - 6
    2. 3x + 2y + 6
    3. 3x + 2y
    4. 3x + 16y +6
  35. 8 workers were expected to take 24 days to complete some work. Two failed to turn up. How many more days did the work take the remaining workers to complete the work?
    1. 32
    2. 8
    3. 18
  36. The perimeter of the triangle below is 36cm.
    Math q36
    What is the area of the triangle above?
    1. 60cm
    2. 120cm
    3. 30cm
    4. 65cm
  37. Luka borrowed Shs. 25500 from a bank that charged simple interest at a rate of 15 % p.a. If he paid all the money after 8 months, how much did he pay?
    1. Shs. 25050
    2. Shs. 2550
    3. Shs. 2813
    4. Shs. 2635 
  38. A length of 5cm was drawn on a map to represent a river of 80km long. What is the scale of the map?
    1. 1:16000000
    2. 1:1600000
    3. 1:160000
    4. 1:16000
  39. After paying a commission of 7% of the price of a vehicle to an agent, the owner of the vehicle was left with Shs. 232500. How much was paid to the agent?
    1. Shs. 17500
    2. Shs. 17275
    3. Shs. 16275
    4. Shs. 25000
  40. In the figure below, line MN = MT, angle NMT = 40°, angel PTN = 30° and angle PNT = 70°
    Math q40
    What is the measure of angle MPT?
    1. 30°
    2. 100°
    3. 80°
    4. 70°
  41. The area of a square piece of land is 0.64ha. What is its perimeter in metres?
    1. 80m
    2. 320m
    3. 6400m
    4. 8000m
  42. Naliaka bought 1000 bananas at Shs. 5 each. On the way, 43 bananas got spoilt. She sold the rest in piles of 11 bananas at Shs. 88 each pile. What was the profit made?
    1. Shs. 6656
    2. Shs. 1656
    3. Shs. 5000
    4. Shs. 2656
  43. Timothy bought a T.V set through a hire purchase terms by paying a deposit of Shs. 9500 followed by 20 monthly installments of Shs. 920 each. If the cash price was Shs. 24000, how much more than the cash price did he pay for the TV set?
    1. Shs. 3900
    2. Shs. 13580
    3. Shs. 15100
    4. Shs. 5600
  44. The figure below shows a right-angled triangle YXZ. Line XY = 6.5cm, MY = 2.0cm and ZM = 7.5cm. 7.5cm
    Math q44
    What is the area of triangle MZY?
    1. 6.5cm
    2. 13.5cm
    3. 6.0cm
    4. 18.5cm
  45. What is twice the value of:
    1/2  of  3/4 + 1/8 (7/9 - 2/3) ÷ 1/4?
    1. 31/36
    2. 31/72
    3. 1/4
    4. 17/18
  46. What is the surface area of the solid drawn below?(π=22/7)
    Math q46
    1. 50016cm
    2. 30800cm
    3. 2992cm
    4. 5632cm
  47. What is the total value of digit 3 in the number? 6835290
    1. 3000
    2. Ten thousands
    3. Thirty thousand
    4. 300000 
  48. The table below shows distance in km between different towns. Thika 80 Kenol 113 1140 Sagana 160 120 40 Karatina What is the distance from Sagana to Thika via Kenol?
    Math q48
    1. 40km
    2. 160km 
    3. 113km
    4. 220km
  49. Mr. Stephen paid Shs. 1800 for an item after he was allowed a discount of 10%. How much was the marked price?
    1. Shs. 2000
    2. Shs. 1980
    3. Shs. 1620
    4. Shs. 2180
  50. The graph below shows the journey of a motorist.
    Math q50
    What was his average speed for the whole journey?
    1. 60km/h
    2. 48km/h
    3. 72km/h
    4. 100km/h

MARKING SCHEME

  1. C
  2. D
  3. A
  4. B
  5. A
  6. B
  7. B
  8. C
  9. D
  10. C
  11. B
  12. C
  13. D
  14. C
  15. A
  16. B
  17. C
  18. C
  19. B
  20. C
  21. D
  22. A
  23. D
  24. A
  25. A
  26. B
  27. C
  28. A
  29. B
  30. C
  31. D
  32. A
  33. D
  34. C
  35. A
  36. A
  37. C
  38. B
  39. A
  40. B
  41. B
  42. D
  43. A
  44. C
  45. B
  46. D
  47. B
  48. C
  49. A
  50. B
Page 23 of 28